Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Je naruhusiwa kuchinja nikiwa nimefunga ramadhani?
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 1048
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Naomba kuliza Kama mke yupo mbali kumrejea mke alieachwa talaka moja kwa njia ya simu inafaa au haifai?
Assalaam alaykum...mimi nauliza endapo mmeshazaa mtoto na we mwanamke ukadai talaka je mwanaume ana haki ya kudai mahari yake ingawa umeshazaa nae?
Samahn mwalim naomba unisaidie aina Saba za usomaji wa Quran
Taja aina saba za usomaji na mashehe wake na nchi zake kabla ya kuhifadhiwa quran katk msahafu lakwanza ilo
Kueleza wasifu wa malaika
nimetofautiana na mke wangu tangu siku ya kwanza ya ndoa nimevumilia miaka 2 sasa nikijua atabadilika lakini tabia bado haibadili nifanyaje sinafraha siku zote
Je,ni ipi dalili itakayonijulisha kua Leo ni usiku wa lailatu likadri ili niombe hiyo dua?