Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Kuonyesha kwamba mwanamke ana mimba matone ya damu hutoka sku ngapi?
Hakuna muda maalumu yanaweza toka mara moja tu ama zaidi ama yasitokee kabisa.
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Bibi alienda period tarehe21 tumekutana kimwili 4 anaweza shika Bal kweli
Habari Dr mm nasikia tumbo lote linauma baada ya tendo la ndoa.maumivu ni makali na hupelekea viungo kukosa nguvu.km vile miguu na mikono inakosa nguvu na mwili mzima unakosa nguvu.tafadhari naomba msaada zaidi.
Na pia maumivu hayo huwa sio ya mda mfupi.yanachukua masaa na badae huendelea taratibu chini ya kitovu
Natamani kufahamu ya uvaaji condomu na uvuaji mara tu baada ya tendo kuisha
Shida yangu mikono inalegea na kukosa nguvu pia kufa ganzi na halafu miguu pia inakosa nguvu na maumivu ya mwili wote hasa kifuani
Nahisi nina tezi dume. Nitawapataje kuweza kupata msaada?
namna ya kusafisha kizazi kwa mwanamke