Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Kuonyesha kwamba mwanamke ana mimba matone ya damu hutoka sku ngapi?
Hakuna muda maalumu yanaweza toka mara moja tu ama zaidi ama yasitokee kabisa.
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Habari mi nnatatizo la presha naitaji msaada wako
ninapresha ya kushuka je inasababisha kooni kubana
Kaka habali m na vipele makalion na kwenye uume ni vina niwasha sana kila nikipma magonjwa ya zinaa Sina huenda ukawa ni dalili ya ugnjwa gan
Habari samahani mm mjamzito wa wiki 36 ila sasa nmeanza kuona uke wangu umekuwa wa maji maji na kiuno kinauma sn je ni moja wap ya dalili za uchungu?
Kipimo Cha u.t.i pia kina weza kugundua mimba
Mfano umelala na mtu ukatumia kinga kwenye shugli gafla ukashtukizia CD imepasuka gafla ukatoa apo Kwa apo ivo unaeza ambukizwa vvu