SWALI

Kuna madhara gani ninapotumia dawa za uzazi wa mpango yaani kuzuia mimba

Swali No. 629




JIBU

Dawa za uzazi wa mpango kama zina madhara yanaweza kuwa haya
1. Kubadilika kwa siku zako
2. Kuongezeka kwa Majimaji ukeni
3
 Kichefuchefu
4. Maumivu ya tumbo
5. Kukosa hamu ya tendo


Hayo ni madhara kwa ujumla ya dawa za uzazi. Ila hutokea mara chache pia hutegemea na mtu. 


Sio wote wanapata hali hizo.



Kumbukumbu
Swali hili limeulizwa na Muulizaji Kutoka WhatsApp Chat yetu tarehe 06-03-2023-13:51:42 . Jina la muulizaji limehifadhiwa.

Nicheki Nicheki WhatsApp






MASWALI YANAYOFANANA