SWALI LETU

Pata jibu kamili kuhusu swali lako

Swali #436 21-02-2023 12:20:19
Question Icon

Je mwezi mtukufu wa Ramadhani umekalibia je kama ukiwa umefunga afu bado upo unafanya kazi iyo ya riba je funga itakuwa salama

JIBU

Kukubaliwa kwa funga hakuna anyejuwa ila Allah mwenyewe maana ameahidi kabisa kuwa funga ni yake na yeye ndiye analipa. Ila iabada nyingine ameweka kabisa ukifanyabutapatavthawabu kiasi gani.

Bongoclass: Wewe funga na fuata masharti kukubiwa na kutokubaliwa Allah ndiye anakuwa. Ila kama kuna uwezekano wa kuachana na hiyobifisi ni heri zaidi kwako

Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.

MASWALI YANAYOFANANA

Angalia Maswali Zaidi