Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Kukubaliwa kwa funga hakuna anyejuwa ila Allah mwenyewe maana ameahidi kabisa kuwa funga ni yake na yeye ndiye analipa. Ila iabada nyingine ameweka kabisa ukifanyabutapatavthawabu kiasi gani.
Bongoclass: Wewe funga na fuata masharti kukubiwa na kutokubaliwa Allah ndiye anakuwa. Ila kama kuna uwezekano wa kuachana na hiyobifisi ni heri zaidi kwako