Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Je mwezi mtukufu wa Ramadhani umekalibia je kama ukiwa umefunga afu bado upo unafanya kazi iyo ya riba je funga itakuwa salama
Kukubaliwa kwa funga hakuna anyejuwa ila Allah mwenyewe maana ameahidi kabisa kuwa funga ni yake na yeye ndiye analipa. Ila iabada nyingine ameweka kabisa ukifanyabutapatavthawabu kiasi gani.
Bongoclass: Wewe funga na fuata masharti kukubiwa na kutokubaliwa Allah ndiye anakuwa. Ila kama kuna uwezekano wa kuachana na hiyobifisi ni heri zaidi kwako