Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Assalamualaikum naomab kujua kivaaa suali ukavuka kufundo ch a mguuni ni sawa
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 776
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
jee: mtu aka dungwa sindano ita haribu swaumu ya mtu?
Assalaam a'laykum warahmatullahi wabarakaatuh! Shaykh mimi nauliza kuwa mke wangu ananiudhi kwa kuwasiliana na wanaume ambao sio mahrim zake na nikimgomea husema hawezi kuacha kuwasiliana nao hata nikimpa nasaha. Naomba nasaha nifanyeje maana nimefikisha kesi hadi kwa wazazi wake ila bado ananiambia kuwa Mimi nimemuowa yeye ila simu yake hainihusu.
Swali nan anawajibika kumkosoa imamu katika swala akikosea hasa anaposoma? Wale walio nyuma yake au yeyote makini
Zakat ili uanze kutoa inatakiwa uwe na kuanzia Kiasi gani cha pesa
A.alaykuuu swalii.....kwa mujibuu wa suratul,asri aliefelii na na alifauluu ni nani
Asalam aleikum Mimi nna swali nataka hoja zinazo thibitisha kuwepo siku ya mwishoo Kwa ushahidi wa ayaa?