Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Kipimo Cha u.t.i pia kina weza kugundua mimba
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 1263
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Naomba niulize natumia vidonge vya uzazi wa mpango ila nilisahau siku moja lakini sikushiliki siku hiyo nilikuja kushiki siku ijayo lakini nilikuwa nimekumbuka kumeza siku iyo je naweza nikawa na mimba
Et kupt maumv makal ya tumbo chini ya ktov yanaeza ikawa dalili ya ujauzito,,,afu na kipimo Cha ujauzito kinaanza kusoma kwa muda gan
mimi ninatokwa na maji mengi ukeni na sipo siku ya tari nilibidi nianze kubleed ndipo ayo maji yameanza kutoka kwa wingi kama uterezi ya yai
Shida yang Ni kuwa mwez wa pil tarehe 28 ilikuw cku ya mwisho ya period akin ilikuw ya tofaut San nilitokwa na uchafu tu so sijui kam ilikuw Ni hedhi
Je kuwashwa kwa muda ukeni kunaweza mfanya mwanamke kuchelewa kupata hedhi
Mimi nimetafuta mtoto takiribani miaka 17, mmpa leo sijapata shida niliambia homon zipo chini, mayai hayapevuki yaani yamefika mwisho naweza pata matibabu mengine umri 45