Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Kipimo Cha u.t.i pia kina weza kugundua mimba
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 1263
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Kwanin mtu anapata dalili zote za kUingia period kabla ya tarehe na tarehe ya kUingia period damu aziona na dalili zote za kUingia alikuwa nazo ii inasabsbishwa na nn
Hlw me kujuwa nilipima nyumbani mimba baada kukosa siku zangu kwa miezi 2 na niumwa hivyo majibu yakaja hivi. Je dr naomba unisaidie ni mimba ?
nasumbuliwa na maumivu makali sana upande wa chini kushoto wa tumbo yanayopelekea nahisi kama mmeng'enyo na kuwaka moto sana .
Vilevile Katika UKE natokwa na majimaji yenye harufu mbaya na ute wa rangi ya njano maziwa hv.
Sijajua tatizo ni Nini haswa na nawezaje kupata matibabu ya matatizo haya , nikapona kabisaa
LNMP yangu ilikua Ni trh 21/1 mpka sass trh 24 sijaingia je naweza kua Ni mimba? Au nisubir mwez uishe
Sorry lkn mm sikuyahatari ilii kuwa tarehe 15 lkn nikalala na mwanaume tarehe 16 lakini mwanaume hakuweza kuingiza uume wake aka mwagia nje je Kuna uwezekano wa kupata mimba
Hello napenda kuuliza dalili za mwishoni kabisa za mama mjamzito kujifingua