Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Kipimo Cha u.t.i pia kina weza kugundua mimba
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 1263
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Nahisi Nina dalili za fangasi ukeni je naweza kutumia dawa gani
Ni michubuko ukeni alafu muwasho na maumivu pia nyama za pembeni zimevimba yani hata nikijigusa tu naumia
Alafu swali langu lingine uke kua mkavu pia Kuna daw ya kuleta utelezi?
kutokwa na uteute mweupe kwa mwanaume haiwezi kuwa dalili ya UTI
Je ukimwi inaambukizwa kwa mate?
Sjawahi kuumwa fangasi but ndo Mara yangu yakwanza naona Hali hii yakutokwa uchafu ukeni na nia yangu nitiba Mana nimetumia dawa za farmasi lakini wapi uchafu unatoka
Bt kwa Sasa kichwa kinauma tumbo mwili unakosa nguvu na napata choo kilain Sana kama cha kuharisha Leo n cku ya nane toka nkutane na mwanaume bt Jana nmepma mstari mmoja tyu umejitokeza je ni dalili za ujauzito au ni tatizo lingine
Mm nilienda nilifanya ngono siku ya Saba je nimjamzito