Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Je kama umeingia trh 12 ya mwez wa 1 nitajueje siku zangu sipl
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 689
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Habari za uzima nina ndugu yangu anaumwa kuna dude frani limetokezea kama ulimi wa pili lina msumbua sana sijajua ni ugonjwa gani
samahani mimi nimeingia piriod tarehe 2 mwezi huu na nimemaliza rarehe 9 je mzunguko wangu ni wa siku ngapi?na siku zangu za hatari ni zip? asante
kutokwa na uteute mweupe kwa mwanaume haiwezi kuwa dalili ya UTI
inawezekana kutibiwa ukimwi kama umegundua umeambukizwa masaa machache yaliyopita
Je ukiwa unakojoa ukawa unajisikia maumivu au uume ukisimama halafu mshipa wa chini unauma hiyo nayo nadalili ya nini
Habari za asubuhi. Nmesoma kwa makini sana kazi za protini mwilini. Lakin pia nmesoma ikizidi sana mwili matatizo yake. Nauliza kama ikizidi inakuwa shida ni kiwango gani cha protini mtu atumie kwa siku na ale na wanga kias gani?