Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Dua kwa mama mjamzito anae umwa na hajifungui
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 743
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Nina penda ni jue ni haram kula chakula kilicho nunu liwa na bwana sio mme mwezi wa Ramadan naombeni mnijulishe shekhe wangu
Nataka mafunzo ya swala ya ijumaa
Mume kampa talaka mkewe baada ya siku mbili tatu mume kamuhitaji mtalaka wake na wakakutana wakafanya yao, lakini hajamtamkia kama kamrejea, je hapa atakua kashamrejea au amezini nae?*
Kama mwanamke amepewa talaka ya kwanza,yapili n yatatu.baina talaka ya2 n 3 akawa n ujauzito
Je? Kwa mtu ambaye amevunja kiapo anatakiwa kuwalisha maskini kumi chakula cha katikati anachowalisha watu wa nyumbani kwenu. Sasa swali langu chakula cha katikati kiasi gani na anatakiwa apeleke kwa muda gani?
Asalsm
Alayku.nilikuwa nauliza yafaa kumpa mamamdogo zakatil fitri