Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Nataka kujua jinsi yakujua swala wakati wakuswali
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 886
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Je nikitaka kutia mwili wangu udhu wa nifasi je naanzia wapi nafanyaje
Naomba unifundishe namna ya kusimamisha sala ya tarawehe na witir
Habari, samahani, naomba kuuliza ukisha tamka shahada ndo tayari kusilimu ama kuna utaratibu mwingine?
Dokta habari ya leo samahani mpenzi wangu limemsumbua sana tumbo kama siku 4 ama5 hivi, na nilivyo angalia tumbo lake nimeona mchilizi mweusi umetoka kwenye kitovu je hii nayo inaweza kuwa dalili ya mimba?
nina swali.mke wangu alikataliwa na ndugu asirudi kwangu nayeye akakubali leo sina mawasilia miezi 4 sasa je Bado kuna ndoa japo?
Asalam alkum mimi nimepewa talaka tatu pasipo na shahidi yoyote je hapo talaka amenipa kwa usahihi?