Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Je mtu mwenye HIV atafanyeje Kwa ajili ya kuimarisha afya yake
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 142
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Nina mtoto mmoja ana umr wa miaka kumi Sasa toka hp nikaja kupata mimba ikatoka hd Sasa Kila nikijaribu kutafuta mtoto mwingne imeshindikana
Nina tatizo LA kusahau mm niwakiume
Je naweza kua mjamzito na chuchu zisiume?
Abar jaman kunaswali nataka kuuliza eti kama mjamzito yupo mwishoni dalili jingine inaweza ikawa anatoa damu ile ya mwanzo ya kwenye siku ile ya damu ya mzee kama nyeusi ivi naomba jib jaman
Mimi baada ya kufanya mapenz na mwanamke anayesemekena ana ukimwi baada ya wiki 2 nilienda kupima na sikukutwa na maambukizi ya ukimwi lakini saivi nasikia maumivu ya misuli hasa kwenye goti la kushoto
Habari dr Ikiwa mimba iliharibika ukakaa kama wiki mbili ukakutana na mwenzako ukasex na ukatumia p2 ndani ya masaa4 kuna uwezakano wa kupata mimba