Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Chanjo ya HPV inalinda dhidi ya nini?
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Samhn pia huwa nasumbuliwa na mgongoo Sana maeneo ya juu ya kiuno jee?? Tatzoo ni nn??
Hiv uume kuwasha kwenye kichwa na kutoa majimaji nchia ya mkojo nidalili xaugonjwa gani
Nliotumia vitunguu swaum lkn Mar baad ya kukutan na mwenza wangu naon majimaji ya rangi km njano kuelekea kahawia yamekuwa yakitok mengi ad naogop lkn ilikuwa n siku ya htr
Habari, nimeng'atwa na nyuki zaidi ya 100 lakini sijaona madhara yoyote na ni wiki sasa imepita, Jumapili 14/05/2023 hadi leo ni 19/05/2023, je, naweza pata madhara siku za baadae?
Nahisi Nina dalili za fangasi ukeni je naweza kutumia dawa gani
Ni michubuko ukeni alafu muwasho na maumivu pia nyama za pembeni zimevimba yani hata nikijigusa tu naumia
Alafu swali langu lingine uke kua mkavu pia Kuna daw ya kuleta utelezi?
Kisonono ni nini na kinaambukizwaje?