Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Chanjo ya HPV inalinda dhidi ya nini?
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Nilifanya tendon siku ya danger kabsa ila nilimeza p2 je kunauwezekano Wa kupata mimba
Muda wa kujifungua umefika na Kuna dalili za damu ukeni je no dalili moja wapo ya uchungu
Ni kwamba tumbo linaniuma kwa Chini na Nina kojoa Mara kwa Mara lkn tulifany siku ya kwanz wakat natoka kwenye siku zangu je nayo ni dalili ya mimba au ni hofu ndy imenitawala
Hellow.... Nimepat taarf zen kutok Google kuhus dalil za mimb Chang... Mim ninalo swal je, maumiv y kiuno n uti wa mgongoo n dalil z mimb??
Mwanamke atakapo tokwa na mimba anatakiwa kukaa mda gani bila kukutana na Mme wake kimwili
Swali langu ni je chuchu kuuma inaweza kua ni dalili ya hedhi? Na je uwepo wa chunusi ni dalili ya mimba au hedhi?