Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Chanjo ya HPV inalinda dhidi ya nini?
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Maranyigi siku zangu naingia tarehe 23 mweziuliopita nimeingia tarehe 22 sijajuwa nikwann
Habari ya saa,Naomba kujua mke wngu ana mimba ya mwezi mmoja sasa ila akivua chupi yake huwa na ute ulio changanyik na damu kiasi ,hii ni dalili gan naomba msaada
Samahan I doctor mm nilikuwa na mimba ila ilivuja haikutoka je ilikuwa na wiki3 je inatakiwa nikae mda gani nipone au inatakiwa nipime mda gani
Je kutokwa na majimaji sehemu za siri ni dalili za nn
Nilifanya tendon siku ya danger kabsa ila nilimeza p2 je kunauwezekano Wa kupata mimba
Hello habari za kazi samahani naomba kuuliza je mtoto akizaliwa na tatizo la tundu kwenye moyo Kuna uwezekanao akawa mlemavu WA viungo?