Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Je mtu anaweza kutumia dawa akiwa kwenye siku za hedhi?
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 1161
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Habari naitwa daines nilikuwa natumia uzazi wa mpango nimekitoa mwezi wa 12 mwaka Jana nasiku zangu sizioni Toka mwezi wa kumi mwaka Jana mpaka leo sioni siku zangu Leo nimepima kipimo kinaonesha ninamimba je inawezekana?
Nina tatizo la infertility sina uwezo wa kutungisha mimba hili tatizo linaweza kutibika?
Dawa ya benpham kwa mtoto wa mwaka 1na nusu anaweza tumia anadalili zote za minyoo
Bibi yangu amemaliza almost 2months hajapata cku yake ya hedhi na Hana mimba
Kutema mate,kukauka lips,n maumivu y tumbo inatokana n nini?
Kaka yangu ikifika mchana yaani saa sita anaanza kuona kizunguzungu ana kaa chini au sehemu ya kivuli ndoo inapoa sasa nini matibabu yake