Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Hi Presha huwa inanisumbua nitumie nini ili ishuke?
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 36
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Je, utawezaje kuishi na mtu mwenye presha ukiwa mbali nae?
Samahani ninatatizo la moyo kwenda mbio hasa nyakati za asubuhi nikiwa naamka alafu nikitembea kidogo tu nachoka,je tatizo Hili husababishwa na nini?
Maji maji meupe ukeni naomba kujua chanzo chake na tiba yake kama mgonjwa anadalili ya fangasi.
Habari, nimeng'atwa na nyuki zaidi ya 100 lakini sijaona madhara yoyote na ni wiki sasa imepita, Jumapili 14/05/2023 hadi leo ni 19/05/2023, je, naweza pata madhara siku za baadae?
Sorry lkn mm sikuyahatari ilii kuwa tarehe 15 lkn nikalala na mwanaume tarehe 16 lakini mwanaume hakuweza kuingiza uume wake aka mwagia nje je Kuna uwezekano wa kupata mimba
Dawa ya benpham kwa mtoto wa mwaka 1na nusu anaweza tumia anadalili zote za minyoo