Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Hi Presha huwa inanisumbua nitumie nini ili ishuke?
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 36
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
je? kunawa au kujifuta mbegu kwa mwanamke wakati wa tendo la ndoa kunaweza kuwa tatizo la kupata mimba.
je dalili hizo za ukimwi zinachukua muda gan kutowekana zinakua ningapi
Na mikojo kubadilika rangi kua yellow inauwezekano ikawa ni mimba au la?
kutokwa na uteute mweupe kwa mwanaume haiwezi kuwa dalili ya UTI
Mpenzi wanguu alimeza dawa ya kuzuia mimba mara mbili na akatokwa na damu kidogo ikawacha na kwa sasa amepima mimba mara mbili na inaonyesha kuwa hana ujauzito ila leo kaniambia anaskia kuchefukwa na roho je inaweza kuwa ni tatizo gani ama ana ujauzitoo???
Je kuna athari gani endapo muhusika amefariki na watu wakawa hawakurith mali hiyo, na je hakuna tabu yoyote inayompata maiti huyo huko alipo? Naomba ufafanuzi wako, ahsante.