Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Hi Presha huwa inanisumbua nitumie nini ili ishuke?
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 36
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Lkn Kwan mwanamke mjamzito kwa wiki moja ni kawaida kuharisha mapovu na makohoz like na maumivu ya mgongo kwa chini kama kuwaka moto
Kuna mwanamke nimetembea nae na inasadikiwa ameathirika na ukimwi. Sasa niliposoma kwenye makala yako pale google ukielezea dalili za hawali sijaziona na nilitembea nae mara 2 na ni mwezi 11 mwishoni
Ukiingiza kwenye uke ukitoa utoka na weupe wakunuka saan shida nini hapo
Doctor habari, samahani Mie Kuna kitu kimeniahtua sijui ninttizo au maumbile sielew, kwenye uke wangu sehemu ya kinembe sijui ndo kinena Kuna kinyama kimetoka yaan Kama kimegawanyika katikati alafu upande mmoja wa kushoto ndo Kama umetoka kinyama Sasa sielew Nini nini
Mama mjamzito akishajifungua hurudi katika hali ya kawaida
Je ukinywa vidonge vya vitamin E unaweza kunenepa