Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Hi Presha huwa inanisumbua nitumie nini ili ishuke?
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 36
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Asante samahan naomba kuuliza kama majimji takiwa yana Toka ukeni nayo pia ni ugonjwa
Mbona baadhi husema Kuna aina ya vyakuka hawaruhusiwi Kwa wenye group tofautitofaut!?
Mm Nina miaka 32 ninamida sasa natumia dawa za ukimwi na cjawahi pata tatizo lolote toka nianze kutumoa na toka nianze kutumia dawa ninazaidi ya miaka SITA Sasa hivi karibuni nimeanza kupata vidonda vya ulimi uja na kuondoka je tatizo linawekua nn
Samahani tarehe 11 mwenz 12 nili toka na damu nyeusi sana na damu mabonge mabonge zili toka siku tatu zikakata nikaja tena kutoka na damu tarehe 8 ya mwenz wa kwanza zili toka siku tano
Sasa Jana tena damu hime aza kutoka tena tatizo nini naomba nisaidie na nina taka mtoto
Samahani ninatatizo la moyo kwenda mbio hasa nyakati za asubuhi nikiwa naamka alafu nikitembea kidogo tu nachoka,je tatizo Hili husababishwa na nini?
Tatizo langu, ni ku kuwa na mawazo sana,kukosa furaha na kukosa umakini hata ninaooelekezwa jambo. Nifanye nni kuepuka haya?