Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Hi Presha huwa inanisumbua nitumie nini ili ishuke?
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 36
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Habari niliingia hedhi tarehe 11 nikamaliza tarehe 14 baada yahapo nikakutana na mwenzangu tarehe 20 je naweza kupa mimba
habari ninatatizo la fangas kwenye pachu za mapaja nahitaji matibabu kwenu napataje huduma?
hello habr naitaji kitabu cha ukombozi wa fikra
Nina swali mutu kuwa na mate machungu ndani ya miezi 6 ni dalil yq ukimwi?
Habariii ninamchumba wangu tatizo lake mbegu zake huwa ni nyepesii sana kama maji shida huwa nin ety
Habari samahani nilikua na swali mimi na mwenzi wangu kila tukifanya tendo baada ya kumwagia mbegu ndani na kuchomoa uume mbegu utoka nje nilikua nauliza sababu nini na je mbegu zinapo toka nje kunauwezekano wa kubeba mimba