Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Habar dr. ivi nitamjuaje mtu mwenye maambukizi
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 158
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Ukiwa na chunusi uso na mwili kuwasha pia sehemu za siri kuwasha after kukuwa na mtu akipimwa HIV after 6 week's hayo majibu inakuwa sawa ukitimia vipimo full medical check up
maana kuna ugonjwa unanisumbua katika uke wangu kutokwana uchafu jee akua niyeye kaniambukiza au ni nini?
Naomba unisaidie nashida moja kweny koo nikila pipi au k2 chochote chenye sukar naskia kooo linakaauka itakuwa ni shida ya nn
Baada ya kula naweza kula tunda?
Sorry lkn mm sikuyahatari ilii kuwa tarehe 15 lkn nikalala na mwanaume tarehe 16 lakini mwanaume hakuweza kuingiza uume wake aka mwagia nje je Kuna uwezekano wa kupata mimba
Nini huduma ya kwanza kwa mtu aliye dondoshwa na presha ya kupanda