Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Je kama utete unao Toka ukeni unakuwa na njano njano tatizo nn
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 1264
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Naomba kuuliza jee kama nime jamiiana leo naweza kwenda kupima kesho ukimwi
Mambo...hope uko poa...samahan nataka kujua kuhusu ujauzito mchanga,,,m nasikia tumbo langu ni kama Alina matumbo kabsa n tupu inaweza kuwa dalili ya mimba?
Aaww. SHUKRAN Kwa elimu juu ya sanda . Swali langu ni Hili: kamba ktk sanda ya like zinakatwa zote kutoka katika majamvi Yale mawili?
Kinga ya mwili hupatikana vipi?
Juzi kuna bonge ya damu ilitoka kubwa kiasi fulan hadi nikaogopa ndo maana nikiwa natafuta msaada
Nanamiaka23 ninamtoto wa mwaka sasa na ilinianza hiii Hali nikiwa na miez minne mwaka Jana titi lilikua limejaa Sana maziwa na maumivu Hadi nikawa nashidwa kumnyonyesha mtoto baada ya maumivu kupungua ndo uvimbe nikawa naugusa mpaka sasaiv