Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Je kama utete unao Toka ukeni unakuwa na njano njano tatizo nn
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 1264
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Ninapata maumivu chini y tumbo japoo nlienda hospitali wakanambia ni infection mbalimbali zipo tumboni wakanipa dawa za kutumiaa baada ya hapoo naonaa sipati hedhi tumbo langu linajaa gas
Nina miaka 23 nimefanya mapenzi siku ya pili baada ya kumaliza period lakini naona damu zinatoka ukeni sijui nini tatizo
Kama mayai yapo machache hayakomai uwezo wa kubeba mimba utakuwepo au
Mm nililamba uchi wa mwanamke na ikanitokea mdomo kuwa Meusi na kupasuka pembeni mwa mdomo
Ninapenda kuuliza swali, kuhusu tiba ya macho, macho yanaona vimulimuli Kwa mbele, vikiisha hvyo vimlimli kichwan kinaanza kuuma Sana,, je nitumie Gani kutibu tatizo Hilo, au ushauri Gani Ili niweze kujikinga na tatizo kama hili
Je ninaweza kuzuia maambukizi siku moja baada ya tendo na alieathirika??