Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Je kama utete unao Toka ukeni unakuwa na njano njano tatizo nn
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 1264
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
unaweza kushiriki tendo la ndoa kwa mjamzito akiwa na miez mingap
Mimi Nina tatizo LA kuwa nikimkojolea mwanamke shahawa baada ya dakika chache anakuwa anahisi maumivu makali tumboni mwake nimetumia dawa za hospitali lakini tatizo linazidi kuwa kubwa na si Kwa mke wangu tu nimejaribu pia Kwa wanawake wengine hali Bado ni Ile Ile.Nifanyaje Ili nikae sawa?
Muda gani mzuri wa kumeza dawa za arv
Samahan mm napata maumivu baada ya kumarza tendo randoa shda inakuwa nn hasa pia ume wangu unasima kidogo unakuwa meregea hauwi mgum ashda nn hasa
jinsi gani ya kutumia hizo dawa za fangasi wa mdomoni na ulimi
Swali langu, ipi Sababu ya mwanamke kuchanganywa na siku yake ya period eg, maalum Ni tareh 23 Kila mwezi ,utaona inamshusha 18, Mara 22 kupanda Tena 26 , naomba kujua doctor