Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Hello naitaj search engine post ziwe znaonekana haraka
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 330
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Habari zenu wakubwa
Kwa application kama hizi za kujisomea zile notes zinakua uploaded kwa njia gani??
Natka nitengeneze mobile app ya kujisomea ila sijajua nianze vipi naomba msaada wenu
Language ni javascript
Nimepata maumivu makali sana ya tumbo wakati wa tendo na baada ya tendo la ndoa nikapata nafasi ya kupitia makala kadhaa katika blog yako ... Naomba unisaidie ni namna gani ntaepukana na maumiv haya?
hellow najaribu kuinstall trebedit kwa simu inakataa sijajua shida nini,, inaonesha tu pending mda wote haioneshi kuanza installing
Mtaalam ninashukuru sana Kwa mafunzo yenu naendelea vizur na html lakin Kun kit kimenitatiza namn ya kuweka mfano mtihani ni code gani inatumika kuweka mtihan
Je plugin ni nini
Kwema mkuu, Naomba Namna ya kufahamu au kujuah vitu baada ya kutengeneza blog. Kama ku edit katika blog na copy matangazo kwenye Facebook, YouTube, Instagram hadi kwenye blogs