Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Hello naitaj search engine post ziwe znaonekana haraka
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 330
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Nin swali naomba msaada nafnya app ya spring boot hapa as backend ila nikipelek data zangu ktk database zinaingia ni null shida ni k2 gn
Code za android studio nilikuwa nazihitaji za app (mobile web/blog app)
Jamani nisaadieni hv vitu nataka nijue kuweka sehemu ya kuweza kupost file kwa ajili ya web user na iwe na sehemu ya comment na share
MSAADA JAMAN?
Kiongozi kuna program yenye uwezo wa kutengeneza OBB kutoka kwenye apk ?
hellow najaribu kuinstall trebedit kwa simu inakataa sijajua shida nini,, inaonesha tu pending mda wote haioneshi kuanza installing
Assallaam Alaykum he ? Ukitaka kifungua bolg yako kinatakiwa Nini na Nini ili nikamilishe kufungua blog yangu mwenyewe