Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Hello naitaj search engine post ziwe znaonekana haraka
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 330
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Nina swali je naweza ku edit picture kwa kutumia Html?
Kwema mkuu, Naomba Namna ya kufahamu au kujuah vitu baada ya kutengeneza blog. Kama ku edit katika blog na copy matangazo kwenye Facebook, YouTube, Instagram hadi kwenye blogs
Ety mbn Kila nikiwek code ya kuwek picha inakataa shida nn
Kaka naomba nisaidie Nilibadilisha email kwenye php admin nikaja kuirudisha inagoma inasema email tayari ipo na pale haipo hili tatizo nalitoaje
Assallaam Alaykum he ? Ukitaka kifungua bolg yako kinatakiwa Nini na Nini ili nikamilishe kufungua blog yangu mwenyewe
Jamani nisaadieni hv vitu nataka nijue kuweka sehemu ya kuweza kupost file kwa ajili ya web user na iwe na sehemu ya comment na share
MSAADA JAMAN?