Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Ety mbn Kila nikiwek code ya kuwek picha inakataa shida nn
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 515
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Nimepata maumivu makali sana ya tumbo wakati wa tendo na baada ya tendo la ndoa nikapata nafasi ya kupitia makala kadhaa katika blog yako ... Naomba unisaidie ni namna gani ntaepukana na maumiv haya?
Kwema mkuu, Naomba Namna ya kufahamu au kujuah vitu baada ya kutengeneza blog. Kama ku edit katika blog na copy matangazo kwenye Facebook, YouTube, Instagram hadi kwenye blogs
Wana sema JavaScript ni moja ya lugha muhimu katika hacking je ILI uweze kuhack kwa JavaScript unatumia platform au app zipi?
Kaka naomba nisaidie Nilibadilisha email kwenye php admin nikaja kuirudisha inagoma inasema email tayari ipo na pale haipo hili tatizo nalitoaje
Code za android studio nilikuwa nazihitaji za app (mobile web/blog app)
Mtaalam ninashukuru sana Kwa mafunzo yenu naendelea vizur na html lakin Kun kit kimenitatiza namn ya kuweka mfano mtihani ni code gani inatumika kuweka mtihan