Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Dalili za kubeba mtoto wa kiume tumboni
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 108
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Na pia mtu mwenye ujauzito uke wake waga ukoje unakuwaga mkavu au unatoka utete Kila siku
Je vidonda vya tumbo vinapona au aviponi kabisa na pia vyakula?
Asante sana Mimi nimesoma kuhusu ukimwi na dadilili zake nimeziona lakini mwezi kuisha nilienda kupima nikaambiwa Sina na wakati nimepungua gafla tu
Niliona vitezi vya kwapa zote mbili na kichwa kuuma Sana na vipele sehemu za Siri
Je mimba ya siku nane iaweza kuonekana kwenye kipimo cha mkojo?
Asalam aykum naomba kufahamu swala ya tahajul inasoma sura yoyote
habar nilikua naulize mm mzunguuko wangu mfupi je 25 nilipata pld tareh 27 nika maliza tareh30 nikashiliki tendo tareh 6 ss sijielew mpaka ssiv na mda wakuona pld umepita ila leo nimeona pld ila nyepes alafu ndogo je nnaweza kua namimba mana naskia kizunguzungu kichwa kinauma mwili wangu umechoka