Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Dalili za kubeba mtoto wa kiume tumboni
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 108
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Hbarai,mimi nina swali naomba msahada nilishea tendo na mtu ambae alikuwa na nia mbaya kumbe ni muathirika na baada ya mwezi tulienda kupima lakini mimi nikakutwa mzima na yeye alikuwa na maambukizi na toka hapo sina hamani je hii imekaaje?
Yes na ikitokea kwa bahati mbaya unafanya ngono na mtu wa virus afu kondom ikapasuka kuna asilimia kubwa ya kukuambukiza??
Ni mkojo tu unauma na nikimaliza kidamu kidogo kinatoka ni mkojo tu
Hello Natatizo la fangasi kwenye mdomo ila sipati maumivu yeyote huwa npo kawaida tu. Na chakula nakula vzr, nimetumia dawa ili kutibu uu muonekano wa ulimi uwe vzr lakn Bado cjapata dawa sahihi
Hello nimeanza hedhi tarehe 8-12 na nina mzunguko wa siku 21 ,je siku ya kupata mimba ni zipi? Nahitaji mtoto
Nina mimba afu natokwa na damu na kiuno kinauma sana