Pata jibu kamili kuhusu swali lako
chango husababishwa na nini....?na tena kuna dawa yake?
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 750
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Ninashid ya kuumwa na tumbo upand wa Julia Kwa chin tatiz ni nin
Habari ya saizi,nimesoma vizr ujumbe wenu nanimeuelewa lkn mm naona dalili ya ukurutu mwilin mwangu ambao cjawah kupata toka nazaliwa yni na niliwahi kuwa napunye miaka minne iliyopita nimetumia kila dawa punye cjapona je punye Hilo inaweza ikawa dalili ya vvu?
Ninailo tatizo la fangasi ya koo nifanyeje
Mm n mwanamke nna miaka30 suali langu n hili km nna ttz la homon nn kifanyike ili niwe sawa sabb nahitaji kubeba mimba
Samahani kwausumbufu mim sijaziona siku zangu ila kama nikipata sehemzangu naona kama kuna kivimbe kwandani upande wa kulia siku za nyuma hakukuwepo sasa sijajua ninini
Miyezii tisaaa kamili tenaa tarehe niloandikiwa sptl kujifunguaa sija jifungua mpkaaa asaiv imeniandikiaa tarehe 25 lkn naona bd maumivu makalii tu yakiuno kumaa na kuachiaaa na mguu kumaa tumbo haliniumi lkn kiuona tu na kutokaa maji maji meupee mazito sijajua tatizo nn