Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Bibi alienda period tarehe21 tumekutana kimwili 4 anaweza shika Bal kweli
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 232
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Habar katika dalili zote nilizosoma ninazokumbana nazo mm ni kujisaidia kinyesi laini ,kujamba mara kwa mara ,kuhisi kwenda haja kubwa ukienda unajamba tu, kichwa kuuma ,na paja kuuma mm nitakuwa na shida Gani maana napata maumivu tumboni upande wa kulia
Habari za asubuhi. Nmesoma kwa makini sana kazi za protini mwilini. Lakin pia nmesoma ikizidi sana mwili matatizo yake. Nauliza kama ikizidi inakuwa shida ni kiwango gani cha protini mtu atumie kwa siku na ale na wanga kias gani?
samahan mie nahisi kiuno kinauma kwa mda kinaacha pamoja na tumbo linakuwa linauma naenda kuharisha ninawiki 34 nasiku2
Mwanamke anapokutana na mwanaume kwa siku yake ya kwanza hupata mabadiriko gani katika mwili wake?
Maranyigi siku zangu naingia tarehe 23 mweziuliopita nimeingia tarehe 22 sijajuwa nikwann
Habari napenda kujua kuhusu dawa za pressure