SWALI

Asalam aleykhum ,he mtu huweza kudumu na udhu kwa swala zote tano kama hatopatwa na moja ya yayotengua udhu ?

Swali No. 413




JIBU

Waalykum salaam, 

Endapo ana uhakika kama hajapata na mambo ya kutengwa udhu,  anaruhusiwa kuswali. Kwa mfano kama udhu wa alfajiri haukutenguka unaweza kuswali nao swala ya Isha. Ila je una uhakika kama kweli. 

 

Hata hivyo kuchukuwa udhu ni bora zaidi kwani kuna dhawabu na unafutiwa madhambi kwa kila tone la maji ya udhu



Kumbukumbu
Swali hili limeulizwa na Muulizaji Kutoka WhatsApp Chat yetu tarehe 19-02-2023-17:50:42 . Jina la muulizaji limehifadhiwa.

Nicheki Nicheki WhatsApp






MASWALI YANAYOFANANA