Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Samahn,,ati ni mwaka wa ngapi ilifaradishwa funga?
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 842
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Jee nduguzake na Nabii YUSUFU walikua na mama mmoja au kila nduguye na mamake?
Nina swali mutu kuwa na mate machungu ndani ya miezi 6 ni dalil yq ukimwi?
Wakati wa kuswalia mait,Yawezekana unapenda kuswali,Maiti wako,ila humjuzi wa hiz Dua, yafaa nikafanya kwa vitendo? Siri yangu Kimoyomoyo,?
Taja watu watano ambao uislamu umewakataza kuwapa maji. Pindi ambapo maji hayo yamewekwa kutiliwa udhu
Assalam aleykum nilikuw nauliza je Kuna dua yyote ya kumsomea mait wakati wakumuosha??
Naomba kama app inaweza kunipa mawaidha ya audio niambieni Barakallahu fikum