Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Samahn,,ati ni mwaka wa ngapi ilifaradishwa funga?
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 842
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Fafanua chimbuko na asili ya mwadamu kwa mtazamu wa kiislamu na usio wa kiislamu, nisaidie
Asalam aleykum warahmatullah wabarakatu naomba kuuliza kwamba Nia peke yake inatosha kumfanya mtu awe ameingia katika uislam bila kutaja shahada
Pili kama mtu akashududia kwa kiswahili je inaswihi?
Asalam alaykm naomba unipatie ushahid kuunganisha ya magharb na Ishaa kwa sababu ya mawingu
Eleza kwa muhtasari kwa nni waislamu ktk jamii yako hawafikii lengo la kwao pamoja.na kutekeleza ibada maalum
Assalam alaykum warahmatullahi wabarakatu.
Samahani naomba kufahamu kwa mwanamume alie muacha mkewe kwa talaka tatu nikipi kifannyike ama taratibu gani zinapashwa zichukuliwe ili mwanamume huyo aweze kuishi tena kihalali na alie kua mkewe.
Hlw ,am sami ,na shida ya macho Kwa mda mrefu je nikitumia vita hivi nitakuwa sawa Kwa mda gani ?