Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Kwanin mwanaume anaoa wanawake zaid ya mmoja Kwan uyo mmoja hamtoshi
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 869
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Naomb kuuliza ukiswali witri katika baada ya ishaa vipi unaruhusiwa kuamka usik kwa ajili ya sunna nyingne
Naomba kuuliza taratibu za kupata cheti cha ndoa. Ndoa ya kiislam imefungwa na shekhe, kwa kawaida taratibu za kupata cheti cha ndoa baada ya ndoa kufungwa zikoje / kinapatikanaje? Na ni Baada ya muda gani?
Je inafaa kuchoma sindano wakati umo kwenye funga?
Assalam alaykum nauliza je ni dhambi kusoma qur-an ukiwa kichwa wazi
Mm naomba kuuliza,. Ni kijana gani alieaminiwa na bwana Abu Talib ambae aliemkabidhi mtume s.w.a amrudishe Makka?
Mume kampa talaka mkewe baada ya siku mbili tatu mume kamuhitaji mtalaka wake na wakakutana wakafanya yao, lakini hajamtamkia kama kamrejea, je hapa atakua kashamrejea au amezini nae?*