Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Kwanin mwanaume anaoa wanawake zaid ya mmoja Kwan uyo mmoja hamtoshi
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 869
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Kifo cha bi khadija kilitokana na nini
Fafanua chimbuko na asili ya mwadamu kwa mtazamu wa kiislamu na usio wa kiislamu, nisaidie
Nina swali sheikh nahitaji msaada wa Elimu.
Nimeingia kwenye mgogoro na Mke wangu asubuhi hii kwa kuwa alikuwa akitamka maneno ambayo mimi sitaki kuyasikia kutoka kwake. Nimemuonya mara ya kwanza hakusikia, nikamuonya tena hakusikia, nikamuonya mara ya tatu kwa kumuambia kwamba *"Ukiniandikia tena Maneno haya basi nitakuwa nimekuacha"*. Naye akayaandika tena? Je, hapa talaka imetoka? Na hukmu yake ni ipi?
Naitwa mustapha nipo songea, je quraan inapaswa kusomwa nyakat gan
Naitaji kujifunza hatua zote za swala kuanzia kutia udhu pamoja na kusimamisha swala
Je inafaa kutoa talaka mbili kwa mkupuo mmoja?