Tupo katika kipindi ambacho, tafiti nyingi zinahitajika kuhusu athari za AI kwenye ubunifu na taaluma.
Wakati kalkuleta za kidijitali zilipoanza kutumika, baadhi ya watu walihofia kuwa hazitahitajika tena akili za wanahisabati. Wengine walihisi kuwa wataalamu wa hesabu watapoteza nafasi zao. Lakini leo tunajua kuwa calculator haikumaliza taaluma ya hesabu – badala yake, ilirahisisha kazi na kuongeza ubora wa uchambuzi wa kihisabati.
Mfano mmoja ni sekta ya uhandisi: licha ya uwepo wa kalkuleta na kompyuta, bado wahandisi hujifunza hisabati kwa kina – kwa sababu vifaa hivyo ni vya kusaidia, si vya kuchukua nafasi ya maarifa.
Sasa tupo kwenye zama za AI. Programu kama Copilot, ChatGPT, na zana nyingine zinaweza kusaidia kuandika msimbo (code). Kwa mujibu wa Microsoft, zaidi ya 30% ya msimbo wa programu unaandikwa na AI kwa sasa. Hii imesababisha baadhi ya wanafunzi na watengenezaji kuamini kuwa hawahitaji tena kujifunza lugha za programu – kwamba AI itawafanyia kila kitu.
Lakini ukweli ni kwamba, kama ilivyokuwa kwa calculator, AI ni nyenzo ya kusaidia, si mbadala wa maarifa ya msingi. Mtu asiyefahamu programming hawezi kutumia AI kwa ufanisi mkubwa. AI itakupa misingi, lakini ubunifu, mantiki ya kutatua tatizo, na maadili ya programu bado vinahitaji akili ya binadamu.
Kwa hiyo, badala ya kuogopa AI, tujifunze kuitumia vizuri. Na zaidi ya hapo, tuendelee kujifunza misingi ya taaluma zetu – kwa sababu teknolojia ni msaidizi, si mbadala wa ujuzi halisi.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
RAM (Random Access Memory) na ROM (Read-Only Memory) ni aina za kumbukumbu kwenye kompyuta au vifaa vya kielektroniki, lakini zina malengo na tabia tofauti.
Soma Zaidi...Hapa tunajadili sababu kuu zinazoifanya simu iwe rahisi kudukuliwa, mbinu zinazotumiwa na wadukuzi, na mambo ya kawaida ambayo watumiaji hufanya bila kujua na kujipeleka kwenye hatari.
Soma Zaidi...Thibitisha akaunti yako kwa hatua za usalama kama kutumia nenosiri imara, kuweka uthibitisho wa hatua mbili (2FA) kwa kutumia authenticator, kukagua matumizi ya vifaa vilivyoingia (logged in devices), kuondoa apps zisizo za lazima, na kuzuia ulaghai (phishing). Hatua hizi zinaongeza sana ulinzi na kupunguza hatari ya kudukuliwa.
Soma Zaidi...Ninutani lakini Kuna mafunzo, programmer wote hawatamsahau rafiki huyu
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza utaratibu unaotumiwa kuweka matoleo kwnye software.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu HDD (Hard Disk Drive) na SSD (Solid State Drive)
Soma Zaidi...Virusi vya kompyuta ni programu hasidi (malware) inayojishikiza kwenye faili au programu halali na kujiendesha pale faili hiyo inapofunguliwa. Virusi vinaweza kuharibu data, kupunguza kasi ya kompyuta, au kusababisha upotevu wa taarifa.
Soma Zaidi...Leo tutajifunza sababu zinazoifanya simu kuwa rahisi kudukuliwa na hatua madhubuti za kuzuia udukuzi. Tutazungumza kuhusu matumizi salama ya intaneti, usimamizi wa apps, usalama wa akaunti, pamoja na tabia muhimu za kujikinga.
Soma Zaidi...Katika somo hili tutaeleza maana ya AMP (Accelerated Mobile Pages), jinsi inavyofanya kazi, faida zake katika SEO, changamoto zake, na njia bora za kuitumia ili kuboresha utendaji wa tovuti yako kwenye injini za utafutaji kama Google.
Soma Zaidi...Zani ilikuwa sehemu ya ku comment ni muhimu sana kwenye blog, ila Sasa sehemu hii imeondolewa kwenye blog nyingi. Ni Kwa nini hasa imeondolewa. Post hii itakujibu swali hilo
Soma Zaidi...