Historia ya Mtume Muhammad ﷺ somo la 27: Kushuka tena kwa Wahyi

Baada ya kukatika kwa Wahyi kwa muda wa masiku kadhaa hatimaye Jibril akaleta tena wahyi kwa mara nyingine.

GABRIELI ALETEA UFUNUO WA ALLAH TENA:

Ibn Hajar alisema: "Kusimama kwa ufunuo (wahyi) wa Allah kwa siku chache kulikuwa ni ili kumtuliza Mtume wa Allah (Rehema na amani zimshukie) kutokana na hofu aliyokuwa nayo na pia kumfanya atamani sana kuupokea ufunuo. Wakati hali ya mkanganyiko ilipoondoka, alama za ukweli zilionekana, na Mtume wa Allah (Rehema na amani zimshukie) alijua kwa hakika kwamba alikuwa amekuwa Mtume wa Mola Mkuu. Alikuwa na uhakika pia kwamba kile kilichomjia kilikuwa si kingine bali ni mjumbe n wahyi kutka kwa ALLh. Kutamani kwake kuupokea ufunuo huo kulikuwa sababu nzuri ya uimara wake na utulivu wake wakati wa kupokea ufunuo wa Allah."

 

Al-Bukhari ameripoti kutoka kwa Jabir bin ‘Abdullah kuwa alimsikia Mtume wa Allah (Rehema na amani zimshukie) akizungumza kuhusu kipindi cha kusimama kwa ufunuo kama ifuatavyo:

“Wakati nilipokuwa natembea, nilisikia sauti kutoka angani. Nilipoinua macho yangu, kwa hakika alikuwa ni yule malaika yuleyule aliyenitembelea katika pango la Hira’. Alikuwa ameketi kwenye kiti kati ya ardhi na mbingu. Niliogopa sana na nikapiga magoti chini. Nilirudi nyumbani nikisema: ‘Nifunikeni…, nifunikeni…’. Allah aliniteremshia aya:

 

‘Ewe uliyejifunika (kwa nguo)! Inuka ukahadharishe! Na Mola wako Mtukuze! Na nguo zako zitakase! Na uepukane na uchafu (sanamu)!’” [74:1-5]

Baada ya hapo, ufunuo ukaanza kuja kwa nguvu, mara kwa mara na kwa mpangilio.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Historia ya Mtume Muhammad (s.a.w) Main: Dini File: Download PDF Views 744

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Kitau cha Fiqh    👉2 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    👉3 kitabu cha Simulizi    👉4 Kitabu cha Afya    👉5 Bongolite - Game zone - Play free game    👉6 Simulizi za Hadithi Audio   

Post zinazofanana:

Historia ya Mtume Muhammad ﷺ somo la 23: Maisha ya Mtume muhammad kabla ya utume

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu maisha ya Mtume Muammad ﷺ wakati wa ujana wake na kabla ya utume

Soma Zaidi...
Historia ya Mtume Muhammad ﷺ somo la 57: Mkataba wa udhalimu

Baada ya Baini Abd Manaf kukubaliana kumlinda Mtume Muhammad basi Maquraish wakaweka mkataba wa udhalimu utakaozuia kutoshirikiana na banu abd Manaf kwa lolote lile.

Soma Zaidi...
Historia ya Mtume Muhammad ﷺ somo la 30: Miaka mitatu ya kulingania kwa siri

Katika somo hili utakwenda kujifunz akuhusu miaka mitatu ya kulingania dini kwa siri na mambo yaliyojitokeza.

Soma Zaidi...
Historia ya Mtume Muhammad ﷺ somo la 64: Ndoa ya Mtume Muhammad baada ya Khadija

Katika somo hili utakwend akujifunz akuhusu Ndoa Mtume Muhammad baada ya Bi Khadija alimuoa Sauda kisha Aisha

Soma Zaidi...
Historia ya Mtume Muhammad ﷺ somo la 55: Mazungumzo ya Utbah bin Rabi'a na Mtume Muhammad (SAW)

Baada ya Quraish kufeli mbinu zao za mateso, sasa wanaanza mbinu za diplomasi, wanajaribu kumshawishi Mtume kwa kumpa mali nauongozi

Soma Zaidi...
Historia ya Mtume Muhammad ﷺ somo la 13: Historia fupi ya Abd al-Muttalib

Katika somo hili utakwenda kujifunza historia ya mzee Abdul al MUttalib. Historia hii inaweza kutofautiana kidogo na ambayo umeshajifunza. na hii ni kutokana kutofautiana kwa mapokeo.

Soma Zaidi...
Historia ya Mtume Muhammad ﷺ somo la 5:Historia ya baba na mama yake Mtume Muhammad (s.a.w)

Katika somo hili utakwend akujifunza kuhusu historia ya wazazi wa Mtume Muhammad (s.a.w)

Soma Zaidi...
Historia ya Mtume Muhammad ﷺ somo la 42: Historia fupi ya Al-Naḍr ibn al-Ḥārith ibn ʿAlqama Adui wa Mtume Muhammad ﷺ

Katika somo hili utakwenda kujifunza historia ya Adui wa Mtume Muhammad ﷺ mwanzoni mwa kuenea kwa Uislamu Makkah.

Soma Zaidi...
Historia ya Mtume Muhammad ﷺ somo la 44: Historia fupi ya Mke wa Abu Lahab - Arwā bint Ḥarb

Katika somo hili utakwenda kujifunza kwa ufupi historia ya mmoja katika maadui wakubwa wa Uislamu wakati Mtume alipokuwa analingania dini.

Soma Zaidi...
Historia ya Mtume Muhammad ﷺ somo la 20: Kazi alizokuwa akifanya Mtume MUhammad kabla yautume

Katika somo hili utakwenda kujifunza kazi ambazo alikuwa akifanya Mtume Muhammad ﷺ kabla ya kupewa utume

Soma Zaidi...