SURATUL-KAUTHAR Imeteremshwa maka, na sura hii imeshuka kwa sababu al-aAs ibn Waail.
SURATUL-KAUTHAR
Imeteremshwa maka, na sura hii imeshuka kwa sababu al-aAs ibn Waail. Siku mija Mtume (s.a.w) alikuwa anatoka msikitini na akakutana na al-aAs ibn Waail na wakawa wanazungumzwa. Basi walipoachana Al-aAs alipokuwa anaingia msikitini wakamuuliza Maquraish ulikuwa unazungumza na nani, akajibu nilikuwa nazungumza na mtu aliyekatikiwa na kizazi.
Yaani Mtume alifiwa na mtoto wake Abdullah ambaye ndiye mtoto wake wa kiume hivyo hakuna tena wa kumrithi na kuendeleza kizazi chake kwa imani kuwa kizazi kinaendelea kwa watoto wa kiume. na katika mapokezi mengine al-aAs alisema kuwa atakapokufa mtume hakuna mtu atakayemkumbuka maana hatakuwa na kizazi tena. Hivyo Allah ndipo akashusha sura hii.
Je! umeipenda hii post?
Ndio Hapana Save post
Kama unahitaji kuuliza maswali Bofya hapa
Mwandhishi Tarehe 2018-08-01 Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 263
Download our Apps
👉1 Kitau cha Fiqh
👉2 Madrasa kiganjani
👉3 kitabu cha Simulizi
👉4 Kitabu cha Afya
AMRI YA KUMFUATA MTUME (s.a.w9)
Amri ya Kumfuata Mtume (s. Soma Zaidi...
Namna ya kutufu, na masharti ya mwenye kutufu
3. Soma Zaidi...
Kitabu Cha Quran na sayansi
Kupata kitabu hiki download faili la PDF hapo chini na usome bila ya internet. Soma Zaidi...
Sifa za waumini zilizotajwa katika surat Al-Mu'uminuun (23:1-11)
Soma Zaidi...
MAMA YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W) ANAMLEA MTUME MUHAMAD AKIWA NA UMRI WA MIAKA MINNE (4)
KULELEWA NA MAMA YAKE ALIPOFIKA MIAKA MINNEMtume (s. Soma Zaidi...
HISTORIA YA PANGO, ALADINI NA KITABU
Soma Zaidi...
Kufunga Mwezi wa ramadhani kisheria
Soma Zaidi...
Taratibu za mahari katika uislamu
Soma Zaidi...
Kuangamizwa Waovu na Kuokolewa Waumini
Baada ya kuonywa wasionyeke, Allah(s. Soma Zaidi...
Haki na wajibu wa mke kwa mumewe na familia
Soma Zaidi...
Masomo ya Dua na Faida zake Dua
Soma Dua mbalimbali hapa, Soma Zaidi...