SURATUL-KAUTHAR Imeteremshwa maka, na sura hii imeshuka kwa sababu al-aAs ibn Waail.
SURATUL-KAUTHAR
Imeteremshwa maka, na sura hii imeshuka kwa sababu al-aAs ibn Waail. Siku mija Mtume (s.a.w) alikuwa anatoka msikitini na akakutana na al-aAs ibn Waail na wakawa wanazungumzwa. Basi walipoachana Al-aAs alipokuwa anaingia msikitini wakamuuliza Maquraish ulikuwa unazungumza na nani, akajibu nilikuwa nazungumza na mtu aliyekatikiwa na kizazi.
Yaani Mtume alifiwa na mtoto wake Abdullah ambaye ndiye mtoto wake wa kiume hivyo hakuna tena wa kumrithi na kuendeleza kizazi chake kwa imani kuwa kizazi kinaendelea kwa watoto wa kiume. na katika mapokezi mengine al-aAs alisema kuwa atakapokufa mtume hakuna mtu atakayemkumbuka maana hatakuwa na kizazi tena. Hivyo Allah ndipo akashusha sura hii.
Umeionaje Makala hii.. ?
Je Qur-an ilikusanywa na kuandikwa katika msahafu wakati wa uongozi wa Abu-Bakr(r.
Soma Zaidi...SURA YA NNE HUKUMU ZA MIYM YENYE SAKNA HUKUMU ZA MIYM SAKINA: Mym sakina ni miym ambayo haina iβrab ( Ω Ω).
Soma Zaidi...QURANI KATIKA ZAMA ZA SAYANSI NA TEKNOLOJIAAsalaalaamu alykum warahmatullah wabarakaatuh.
Soma Zaidi...Qalqala imegawanyika katika makundi mawili ambayo ni Qalqalatul qubra yaani qalqala kubwa na qalqalat as shughura yaani qalqala ndogo.
Soma Zaidi...FADHILA ZA BAADHI YA SURA Umuhimu na ubora wa baadhi ya sura na aya.
Soma Zaidi...Sira na historia ya Mtume Muhammad s.a.w , sehemu ya 19. Hapa utajifunza maisha ya Mtume kabla ya utume.
Soma Zaidi...