SABABU YA NENO LAKO

Sababu ya neno lako, nasema nimesikia,Sababu ya neno lako, nasema hongera pia,Sababu ya neno lako, nishajua yakonia,Wasema afukuzwae, sihadi pasemwe toka,Sababu ya neno lako, maumivu yanijia,Sababu ya neno lako, nami leo nakwambia,Sababu ya neno lako, sit

SABABU YA NENO LAKO

SABABU YA NENO LAKO

Sababu ya neno lako, nasema nimesikia, Sababu ya neno lako, nasema hongera pia, Sababu ya neno lako, nishajua yakonia, Wasema afukuzwae, sihadi pasemwe toka, Sababu ya neno lako, maumivu yanijia, Sababu ya neno lako, nami leo nakwambia, Sababu ya neno lako, sitoweza kurudia, Ndege unae muinga, hujua pakukimbia, Sababu ya neno lako, sisiri nimeumia, Sababu ya neno lako, mengi sasa najutia, Sababu ya neno lako, najibadili tabia, Pilau bila viungo, pishi halijatimia, Sababu ya neno lako, sitoweza kukawia, Sababu ya neno lako, sasa nabadili nia, Sababu ya neno lako, nimesha kushitukia, Muwinda simba kwafimbo, maisha kayachukia, Sababu ya neno lako, nilitamani kulia, Sababu ya neno lako, sikuweza vumilia, Sababu ya neno lako, shairi nakutungia, Tamu ya ndimu sikula, hunoga haswa supuni, Sababu ya neno lako, jibu nimejipatia, Sababu ya neno lako, siwezi kun'gan'gania, Sababu ya neno lako, kwengine nita hamia, Baharia simkwezi, namkwezi sikwa mbizi, Sababu ya neno lako, ngazi nishaiachia, Sababu ya neno lako, waje wengine kungia, Sababu ya neno lako, haya nimedhamiria, Sitojali mambo yako, chochote sito kwambia. (inakuhusu) by HD.Hassan




                   



Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Kama unahitaji kuuliza maswali Bofya hapa

Mwandhishi Tarehe 2018-08-01     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 169


Download our Apps
👉1 kitabu cha Simulizi     👉2 Kitabu cha Afya     👉3 Madrasa kiganjani     👉4 Kitau cha Fiqh    

Post zifazofanana:-

HADITHI YA BINTI WA KWANZA NA MBWA
Download kitabu Hiki Bofya hapa HADITHI YA BINTI WA KWANZA NA MBWA. Soma Zaidi...

SIRI
Kutoka kwenye usingizi mzito unaamka, Haujui nini kimetokea (uenda ukawa umepoteza kumbukumba). Soma Zaidi...

HISTORIA YA NABII YUSUFU(A.S.): Ndoto ya nabii Yusufu
Mtume Yusufu(a. Soma Zaidi...

BINTI MZURI ASIYETAMBULIKA
BINTI HUYU NI NANI? Soma Zaidi...

HADITHI YA CHONGO WA PILI MTOTO WA MFALME
Download kitabu Hiki Bofya hapa HADITHI YA CHONGO WA PILI MTOTO WA MFALME. Soma Zaidi...

Chemsha bongo namba 13
23. Soma Zaidi...

Chemsha bongo namba 03
Tatua mzozo wa NI NANI MUUAJI? Soma Zaidi...

SAFARI YA KWANZA YA SINBAD
Download kitabu Hiki Bofya hapa SAFARI YA KWANZA YA SINBAD Tambua kuwa baba yangu alikuwa ni mfanya biashara mkubwa sana katika nchi ya baghdad wakati wa utawala wa sultan harun Rashid. Soma Zaidi...

KUTOKA KWENYE KISIMA MPAKA KUWA MFALME
Download kitabu Hiki Bofya hapa KUTOKA KWENYE KISIMA MPAKA KUWA MFALME. Soma Zaidi...

HADITHI YA KISIWA CHA MAWE YANAYOLIA
Download kitabu Hiki Bofya hapa HADITHI YAKISIWA CHA MAWE YANAYOLIA. Soma Zaidi...

HADITHI YA NURDINI 02: mawaziri wa Mfalme
Alikuwepo mfalme aliyetambulika kwa jina la Muhammad Suleiman Azeyn. Soma Zaidi...

ALADINI KATIKA PANGO LA UTAJIRI
Soma Zaidi...