Sifa na majina ya siku ya mwisho siku ya kiyama
Sifa na majina ya siku ya mwisho siku ya kiyama
siku ya mwisho katika Quran imepewayafuatayo:
Siku ya Qiyama (21:47, 75:1, 75:6, 79: 42) Siku ya mwisho (2:4, 2:8, 58:22)
Siku ya malipo (1 :4, 82:9, 95 :7, 107:1, 83 :11) Msiba ugongao nyoyo (101:1)
Siku ya hukumu (77:13-14)Wakati maalumu (56:49-50)
Siku ya makamio (50:20)
Siku ya makutano (40:15)
Siku iliyokaribu sana kufika (40:18)
Siku ya kuitana (40:32)
Siku ya kutoka makaburini (50:42)Tukio lilokaribu, limesogea
Siku zitakapotikisika mbingu mtikisiko wake 187
(xiv)Siku ya kukaa daima (50:42)
(xv)Siku zitakapofichuliwa siri (86:9)
(xvi)Tukio la Haki (69:1-3)
(xvii)Siku ya Haki (78:39)
(xviii)Tukio kubwa (56:1-2)
(xix)Siku iliyokadiriwa (85:2)
(xx)Msiba ukumbao (88:1)
(xxi)Siku iliyokuu (83:5)
(xxii)Siku ya mkusanyiko (64:9)
(xxiii)Siku ya Hisabu
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 Madrasa kiganjani 👉2 kitabu cha Simulizi 👉3 web hosting 👉4 Dua za Mitume na Manabii 👉5 Kitabu cha Afya 👉6 Simulizi za Hadithi Audio
Post zinazofanana:
Maana ya Kuamini Mitume wa Allah (s.w) katika maisha ya kila s iku.
Waumini wa kweli wa Mitume wa Allah (s.
Soma Zaidi...Maana ya Elimu katika uislamu na nani aliye elimika?
Hili ni swali kutoka katika maarifa ya elimu ya dini ya kiislamu kidato cha kwanza (EDK FORM 1)
Soma Zaidi...Maswali juu ya mtazamo wa uislamu kuhusu dini
Mtazamo wa uislamu kuhusu dini (EDK form 2:dhana ya elimu ya uislamu)
Soma Zaidi...