Matendo ('amal) hulipwa kutokana na nia (makusudio)

Matendo ('amal) hulipwa kutokana na nia (makusudio)

HADITHI YA 01

' ' ' ' ' ' ' ' ' ' ' ': ' ' ' ' ' ' ' ': " ' ' ' ' ' ' ' ' ' ' ' ' ' ' ' ' ' ' ' ' ' ' ' ' ' ' ' ' ' 'h ' ' ' ' ' ' ' ' ' ' ' ' ' ' ' ' ' [':1]' ' ' ' ' ' ' ' ' ' [':1907] ' ' ' ' "'" ' ' ' ' '

Imesimuliwa kutoka kwa Amirul Mu'minin, Abu Hafs 'Umar bin al-Khattab (ra) ambaye alisema:

Nilimsikia Mjumbe wa Allaah (s.a.w) akisema: "Matendo yanahukumiwa kwa nia (niyyah), kwa hivyo kila mtu atakuwa na kile alichokusudia. Kwa hivyo, yule ambaye uhamiaji wake (hijrah) ulikuwa kwa Mwenyezi Mungu na Mjumbe wake, uhamiaji wake ni Kwa Mwenyezi Mungu na Mjumbe wake. lakini yeye ambaye uhamiaji ni kwa ajili ya kupata vitu vya kidunia, au kwa ajili ya kupata mke ili amuoe, uhamiaji wake ni kwa yale ambayo alihamia. "[Bukhari & Muslim]


                   

Kama unahitaji kuuliza maswali Bofya hapa

Mwandhishi Tarehe 2018-08-01     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 216

Post zifazofanana:-

What is Chemisty?
The meaning of a word chemistry by difinition Soma Zaidi...

HISTORIA YA KUUMBWA KWA NABII ADAMU (A.S)NA HADHI YAKE NA HADHI YA WANAADAMU DUNIANI
Adam(a. Soma Zaidi...

Hizi ndio suna za swala kwa swala za faradhi na suna
Soma Zaidi...

Faida za kula Palachichi
Palachichi lina virutubisho vingi na vitamini, kula palachichi uiokoe afya yako Soma Zaidi...

haya ndiyo mambo yanayaribu swala na yanayobatilisha swala
Soma Zaidi...

Faida za kiafya za kula Pensheni
Soma Zaidi...

SYMPTOMS OF ANOREXIA
Anorexia nervosa in other name is called slimmer's disease or self-starvation syndrome. Soma Zaidi...

Wanaoongozwa na wasioongozwa na quran
Soma Zaidi...

Fangasi aina ya Candida
Huu ni ugonjwa wa fangasi wanaosababishwa na mashambulizi ya fangani aia ya yeast waitwao candida. Soma Zaidi...

(viii)Wenye khushui katika swala
Waumini wa kweli waliofuzu huwa na khushui (unyenyekevu) katika swala. Soma Zaidi...

haki za mwanamke za kisiasa katika uislamu
Haki ya Kushiriki Katika Siasa. Soma Zaidi...

sukari_ya_mashairi
Soma Zaidi...