IJUE HOMA YA CHIKUNGUNYA (CHIKV) DALILI ZAKE, TIBA YAKE, CHANJO YAKE, NA MBU ANAYESAMBAZA HOMA HII

IJUE HOMA YA CHIKUNGUNYA (CHIKV) DALILI ZAKE, TIBA YAKE, CHANJO YAKE, NA MBU ANAYESAMBAZA HOMA HII

Haya ni maradhi ambayo husambazwa kutoka kwa mtu kwenda kwa mtu kwa kupitia mbu.

Jiunge nasi WhatsApp
Upate Update zetu

IJUE HOMA YA CHIKUNGUNYA (CHIKV) DALILI ZAKE, TIBA YAKE, CHANJO YAKE, NA MBU ANAYESAMBAZA HOMA HII

3. HOMA YA CHIKUNGUNYA (CHIKV)

Haya ni maradhi ambayo husambazwa kutoka kwa mtu kwenda kwa mtu kwa kupitia mbu. Mbu aina ya Aedes aegypti ndiye ambaye anatuhumiwa kwa kusambaza maradhi haya. Homa hii kwa mara ya kwanza iligundulika mwaka 1952 Tanzania.

 

Dalili za maradhi haya zinaweza kutokea siku 3 mpaka 7 baada ya kung'atwa na mbu huyu. Dalili za malaria ni sawa na zile za dengue ila utofauti ni kuwa homa hii haipelekei kutokwa na damu. Dalili hizo ni kama homa, maumivu ya viungio, baridi, kutapika na kichefuchefu, maumivu ya mgongo pamoja na miwasho.

 

Neno 'chikungunya' ni neno la kabila ya kimakonde, kabila linalopatikana kusini mwa Tanzania. Neno hili linamaana ya "kunyumbulisha viungo katika hali isiyo ya kawaida". Nenohili lilimaanisha maumivu ya viungo anayoyapata mgonjwa. bado homa hii pia haina dawa ila zipo dawa za kupunguza athari ya dalili za homa hii.

 



                   

Download Post hii hapa

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: magonjwa Main: Afya File: Download PDF Views 957

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Kitau cha Fiqh    👉2 Simulizi za Hadithi Audio    👉3 Madrasa kiganjani    👉4 kitabu cha Simulizi    👉5 Kitabu cha Afya    👉6 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)   

Post zinazofanana:

Dalili zinazoonyesha joto la kupungua mwilini (hypothermia)
Dalili zinazoonyesha joto la kupungua mwilini (hypothermia)

joto la mwili wako linapungua, moyo wako, mfumo wa neva na viungo vingine haviwezi kufanya kazi kwa kawaida. Isipopotibiwa, Hypothermia hatimaye inaweza kusababisha moyo wako na mfumo wa upumuaji kushindwa kabisa na hata kifo.

Soma Zaidi...
Fahamu kuhusu Ugonjwa wa ukoma
Fahamu kuhusu Ugonjwa wa ukoma

Posti hii inahusu zaidi Ugonjwa wa ukoma ni Ugonjwa unaosababishwa na bacteria anayejulika kama mycobacterium leprae.

Soma Zaidi...
Dalili za uchovu wa joto mwilini.
Dalili za uchovu wa joto mwilini.

Uchovu wa joto ni hali ambayo dalili zake zinaweza kujumuisha kutokwa na jasho kubwa na mapigo ya haraka, ambayo ni matokeo ya joto la mwili wako. Ni mojawapo ya magonjwa matatu yanayohusiana na joto, huku tumbo la joto likiwa kali zaidi na Kihar

Soma Zaidi...
Dalili za sukari kupungua mwilini (Hypoglycemia)
Dalili za sukari kupungua mwilini (Hypoglycemia)

sukari kupungua mwilini (Hypoglycemia) huhusishwa kwa kawaida na matibabu ya Kisukari. Hata hivyo, hali mbalimbali, nyingi zikiwa nadra, zinaweza kusababisha sukari ya chini ya damu kwa watu wasio na Kisukari. Kama vile Homa, Hy

Soma Zaidi...
Je unaijuwa ugonjwa wa bawasiri
Je unaijuwa ugonjwa wa bawasiri

Katika post hii nitakwenda kukujuza kuhusu ugonjwa wa bawasiri

Soma Zaidi...
Dawa za kutibu kiungulia
Dawa za kutibu kiungulia

Somo hili linakwenda kukueleza baadhi ya dawa za kutibu kiungulia

Soma Zaidi...
 Ugonjwa wa kisukari
Ugonjwa wa kisukari

Ugonjwa wa kisukari hurejelea kundi la magonjwa yanayoathiri jinsi mwili wako unavyotumia sukari kwenye damu (glucose). Glucose ni muhimu kwa afya yako kwa sababu ni chanzo muhimu cha nishati kwa seli zinazounda misuli na tishu zako. Pia ndio chanzo ki

Soma Zaidi...
vidonda vya tumbo
vidonda vya tumbo

Kupata kitabu hiki download faili la PDF hapo chini na usome bila ya internet.

Soma Zaidi...
Dalili za anemia ya upungufu wa vitamin.
Dalili za anemia ya upungufu wa vitamin.

Anemia ya upungufu wa vitamini ni ukosefu wa seli nyekundu za damu zenye afya unaosababishwa na kiasi kidogo cha vitamini fulani kuliko kawaida.

Soma Zaidi...
dalili za ukimwi kwa mwanaume
dalili za ukimwi kwa mwanaume

Katika post hii utakwenda kujifunza zaidi khusu dalili za ukimwi ama HIV kwa wanaume

Soma Zaidi...