UISLAMU NA ELIMU

picha
UISLAMU NA ELIMU EP 4: MARIAM AL-ASTRULABI: MWANAMKE MWISLAMU ALIYELETA MAPINDUZI KATIKA SAYANSI YA ASTROLABE KATIKA KARNE YA 10

Katika uislamu mwanamke alikuwa na haki sawa na wanaume katika swala la kusjoma na kutafuta elimu. Makala hii itamuangalia mwanamke aliyeleta mapinduzi karne ya 10
picha
UISLAMU NA ELIMU EP 3: VIPI UISLAMU ULIMPA HADHI MWANAMKE

Uislamu ulikuja kumkomboa mwanamke kutokana na dhulma alizokuwa akifanyika katika jamii.
picha
UISLAMU NA ELIMU EP 2: CHUO KIKUU CHA KWANZA DUNANI

Chuo kikuu cha wanza duniani cha Elimu kielimu hakukihusu tu waislamu bali hata ambao sio waislamu walipata fursa ya kujifunza.
picha
UISLAMU NA ELIMU EP 1: VIPI UISLAMU ULISAIDIA KUHIFADHI KAZI ZA WANAFALSAFA WA KIGIRIKI

Kabla ya falsafa za ukiriki kufika ulaya, Wislamu ndio waliozihifadhi, na baadaye kuja kutafsiriwa kilatini na kuwafikia watu wa Ulaya