Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Napatwa na homa kichwa kuuma tumbo nalo kinauma doctor
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 772
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Habari doctor nilikua nataka nifahamu juu ya tatizo nililo nalo
Tatizo lenyew ni katika pembezoni mwa uume Wang kumepauka , pia kunatok vipere pia huwa kunawasha
Je Kama unaskia muwasho tu sehm za sir nayenyew n dalili za ukwimw
habari mimi apa nahisi na ujauzito lakin sina uhakika naomba ushauli wenu
Asante mimi ningependa kuuliza swali kwamba nimeshiriki tendo la ndoa cku ya 12 adi siku ya 16 but mabadiliko ninayoyaona ni tumbo kujaa ges, kuchoka bila sababu, na tumbo la chini kuniuma kwa sana na leo ni siku ya 11 yani tumbo linavuta mpaka basi
Ningependa kujua iyo nayo ni dalili ya mimba changa kwangu ama
Kutokwa na uchafu wenye harufu sehem za Siri na kukosa uteute kipindi Cha harari ni dalili za ugumba??
Mapele yamekuw yakinitokea san na kuwashwa cjaelew hii kitu inakuwaje..naomba unipe jibu🙏🙏🙏