Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Samahan naomba kuuliza je Romanc yaani Denda linaambukiza Vvu?
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 9
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Naumivu ya tumbo kwa meenye mimba ya mwezi mmoja hutokea juu ya kitovu ama chini ya kitovu?
Hivi vidonda vya tumbo vinasababishs kupumua haraka haraka
nina miaka 31 ni mwanamke pia nauliza mimi ni mjamzito ila napata maumiv sana juu ya tumbo piamwili unachoka sana na najihisi vibaya wakat wote
Pia Kuna uwezekano mwanamke kua na ujauzito pasipo discharge yaani kutokwa na damu
Kuonyesha kwamba mwanamke ana mimba matone ya damu hutoka sku ngapi?
Nawashwa sana sehem za siri pia napata maumiz sana wakat wa tendo had napomalza kwenda haja nlpta kwenye page yenu ndo nmeona kwamba n dalili za fungus
Hata mzunguko wangu haujulkan n wa sku ngp yan hata hazkai mpanglio mzur
Na hapo nikimaliza period huwa naamin kwamba nabanwa na pad yn huwa nawashwa had natumiaga maji ya vuguvugu ndo kdg naacha kujkuna