Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Samahan naomba kuuliza je Romanc yaani Denda linaambukiza Vvu?
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 9
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Naomba kuuliza jee kama nime jamiiana leo naweza kwenda kupima kesho ukimwi
Samahani doctar naomba nijue matimiz ya hivi vya MICROLUT vidonge vya uzazi wa mpango
Nina mtoto mmoja ana umr wa miaka kumi Sasa toka hp nikaja kupata mimba ikatoka hd Sasa Kila nikijaribu kutafuta mtoto mwingne imeshindikana
Hai jaman minashida yani nateseka fangas uken vidonda kwenye mashavu afu vinawasha nitumie dawa gan
mimi ninatokwa na maji mengi ukeni na sipo siku ya tari nilibidi nianze kubleed ndipo ayo maji yameanza kutoka kwa wingi kama uterezi ya yai
Asante Kwa kutuelimisha juu ya ugonjwa wa u.t.i, je vyoo vya kukaa vinaweza kuambukiza u.t.i?