Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Samahan naomba kuuliza je Romanc yaani Denda linaambukiza Vvu?
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 9
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
As-alaykum. Naomba list ya watu ambao mwanamke haruhusiwi kufanyanao miamala kama ya kugusana au kukaliana pamoja au kukaa pekeyao nk Au list ya watu anaoruhusiwa kugusana nao tu.
ni sababu Gani wengine hawapat mimbaa na inasababishw na nini
Ni kwamba tumbo linaniuma kwa Chini na Nina kojoa Mara kwa Mara lkn tulifany siku ya kwanz wakat natoka kwenye siku zangu je nayo ni dalili ya mimba au ni hofu ndy imenitawala
Mm mimba zangu mbili zote ziliharibika na sasa Nina miezi mitatu najaribu kupata mtoto inashindkkana nn nifanye sababu nataman kuwa mjamzito
Habari nimehifrahia makala Yako hila naomba kujua itachukua kipindi Gani kuzitambua hizi dalili za ukimwi endapo atakuwa amepata maambukizi kwa mara ya kwanza??
Ulimi ukishambuliwa peke yake ni fangasi?