Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Samahani mimi nataka kujua aina zavidonda vya tumbo
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 230
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Mimi Nina mimba ya miezi 5 lakini Nina tatizo la kutokwa na maji maji ukeni wakati mwingine na damu yenye mabonge mabonge kama mwezi mzima sasa
Habar jee ukiwa mjamzito namimba ishafika wiki 37 unaweza kuzaa na mtoto akapona na ukijihis sehemu ya uke inajaa nidalili gn
Doctr naomba mxaaada wako nilitumia p2 ucku xaa tatu nakesho take nikaendelea na doz ya dawa nilizokuwa natumia lakin nilivyomeza daw za doz nilitapk dockr naomba uxhauri
Nina mimba afu natokwa na damu na kiuno kinauma sana
ukichanganya majani ya muarobaini, karafuu,na thaumu kisha ukavitwanga inaweza kutibu jino
Mke wangu anatokwa na vitu vyeuope ukeni na me nipo mbali nae Sana nahitaji msaada wenu