Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Samahani mimi nataka kujua aina zavidonda vya tumbo
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 230
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Mm naumwa kwenye upande wakushoto juu tumbo linako azia
Vipi boga kuhusiana na mgonjwa was sukari
Habari samhn mim naon dalil za ujauzito Kuna muda kichef chef minakuja kwa muda usingizi na mstari chin ya kitovu kun mstar mweus kwa mbali lakin nashangaa Leo naziona siku zangu sjui kwanni inakuw hivi
Swali lang mim Kila kunapo ingia usiku natokwa na vipel vidovidog mwil mzima na kukikalibia kukucha tu vipele vyote upotea kinacho bak niviungo vyang baaz kama mkon na ckunyengine mkono unaacha kuuma unafat mkuu na muda mwengine viungo haviumi vinatoka vipele tu sas cjajuah shida nin au nidalil ya nin.
Samahani kwa usumbufu naomba tu kuuliza au kupata ushauri kutoka kwenu, Mimi ni mjamzito ninaujauzito wa miezi 3 sasa lakini nimeamka asubui kwenda kukoga nikakuta chupi imechafuka pasipo maumivu ya aina yoyote Yale Ila imetoka kidogo tu Je, hii inakuaje inakua hivi au nifanyaje ili hali hii isiendelee? Maumivu yoyote sisikii kabisaa niko vizuri
Habali samahani mi natatizo nikama mapunye usiku huwa yana washa nakutoa majimaji meupe, tatizo hili na mda nalo taklibani mwaka namiezi nitumie dawa yaaina gani nipate kupona