Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Samahani mimi nataka kujua aina zavidonda vya tumbo
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 230
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Assalamu Alaikum me natak kujua mpangilio wa kutia udhu
Juzi kuna bonge ya damu ilitoka kubwa kiasi fulan hadi nikaogopa ndo maana nikiwa natafuta msaada
Samahani muudumu naomba unielekeze kuhusu hili swala nilialibikiwa mimba ya mwezi mmoja na nilitokwa na damu ndan ya wikiii sita na nimekaa wiki mbili damu zinatoka tena ivii ni tatizooo aul
Na pia baada ya damuu kukata nilitokwa na ute ute ambao ulikuwa unaniwasha
Mimi nilikutana na mume wangu siku za hatar mwezi uliopita ilikuwa ni kuanzia tarehe 18 mwez uliopita na ilibidi mwez huu tarehe sita niingie period ila sijaongia mpaka Leo ila jana nimejaribu kupima ujauzito na kipimo Cha mkojo lakn sijaona
Abar jaman kunaswali nataka kuuliza eti kama mjamzito yupo mwishoni dalili jingine inaweza ikawa anatoa damu ile ya mwanzo ya kwenye siku ile ya damu ya mzee kama nyeusi ivi naomba jib jaman
Fangasi wanasumbua uumeni n muda wa week mbili sasa