Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Samahani mimi nataka kujua aina zavidonda vya tumbo
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 230
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Ni kwamba tumbo linaniuma kwa Chini na Nina kojoa Mara kwa Mara lkn tulifany siku ya kwanz wakat natoka kwenye siku zangu je nayo ni dalili ya mimba au ni hofu ndy imenitawala
mm najaribu kufanya sex kwenye siku hatari lakn Mtu wangu hashiki mimba mpk saiv Nina miezi Tano tunatafuta mimba lakn Hamna. Na pia Kwa Upande wangu naona manii ni nyepesi sio Kama zinazohitajika . Nini suluhisho lake mkuu
Je hizo dalili za HIV za mwanzo zinaweza ziconekan mwakaa mzimaa tangia ile cku ulio toka kubamiana na mtuu
Habari Mtaalam, Mimi ni mwanamke ambaye tumetengana na Mumewangu mwaka mzima.Wiki hii alumina nyumbani na tukashiriki tendon la ndoa. Masaa 5 baada ya kushiriki mwili ULIKUWA MCHOVU hadi nikaanza kulala Orsini hadi sasa ni siku ya tatu mwili ni MCHOVU siwezi Tanya chochote.
Habari je mtu Mjamzito tumbo hujaa gesi mara kwa mara
Habari za jion samahan nlikuwa nauliza maana mm period naingia tarehe 2 ila mpk leo sijaziona na nashikwa na kizunguzungu pia tumbo linakuwa linauma japo si kila mda pia nakua nahis kuna kitu kimekaa kwenye koo km kinataka kutoka ety itakuwa ni dalili ya mimba au?