Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Nisaidie dalili za ukimwi baada kuupata after 1 weak
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 533
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
MWANAMKE ANARUHUSIWA KUFANYA MAPENZI MWISHO MIEZ MINGAPI COZ BAADHI YA WATU HUSEMA UKIFANYA MPAKA MWISHO MTOTO HUZALIWA MCHAFU KICHWANI
Kupasuwa kwaviungo inasababishwa na nn
Habari? Samahani naomba kuuliza swali he unaweza pata dalili za ujauzito baada tu ya siku tatu? Na je inaweza sababisha ukilala kwa mgongo tumbo liume?
Na mimba ya Kwanza ikitoka inafaa amalize mda gani ndo ashike ingine
Aje kama mtu ammetoka tu mapele kwenye mikono na ana kikooz anaweza kuwa na ukimwi
Ok shida yangu nikwamba nasikia maumivu makali tumbo la chini na mpaka kwenye mishipa ya korodani na kwenye nyonga pia kichwa kinauma