Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Nisaidie dalili za ukimwi baada kuupata after 1 weak
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 533
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Naomba kujua nada ya kutoa talaka Kwa mujibu wa dini ya kiislam utaratibu wa mgawanyo wa mahalo ukoje?
Je kama baada ya kumaliza hedhi nikakutana na mwanaume ndani ya wiki moja nikaanza kujiisi vibaya kichwa kinauma kizunguzungu nidalili pia za mimba
Je kipimo cha mkojo huonyexha mimb ikiwa na mda gan
Namaswali machache Kuhusiana kushik mimba. Mimi niliingia period tarehe 4 mwez uliopita yaan December, n mwez wa11 pia niliingia hedhi tarehe 4. So maximum kua siku ya hatr n siku ya10 c ndio ambay n tareh13 na nimekutan n mmewangu siku za hatr kimwili, leo nimepima mimba Ila kimekuj kimstari kimoja, inamaanisha sina mimba au nimewahi kupima ujauzito?
Sijapata majibu Dr kucha hiyo kwa Sasa inawasha kwa ndani
Jaman naomba kusaidiwa nimekunywa majibu kwà lengo la kutoa mimba changa lakini tumbo linaniuma chini ya kitovu,nimeharisha ,it's mzigo sanaa umetoka ukiwa na rangi ya maziwa na tumbo likiwa linauma ni kama vile nataka kuingia period je mimba umetoka au bado