Pata jibu kamili kuhusu swali lako
sababu ya ugonjwa wa majipu na tiba yake
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 105
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Niliharibikiwa na ujauzito wa week 7 kutokana na kuumwa ambapo nikatumia dawa ambazo sikujua kama Zina effects za kuharibu mimba so nikasafishwa kizazi nikapewa na dawa nikarudi KATIKA Hali yangu kawaida Lakini Leo ni kama siku ya tatu ninahisi maumivu Kwa mbali hasa chini ya kitovu upande wa kushoto au hta nikibinyabinya hiyo sehemu na mkono JE MAUMIVU HAYO YANASABABISHWA NA NINI ?
habari .mm sasa ninaishi na mke mwenye ukwimwi mwanzo alinificha hakuniambia je sas nilipogundua nilipima sikuwa nao je kuna namn ya kuishi na mtu wa aina hiyo nikawa salama
kuna ukweli gani kuwa mtu mwenye damu yenye wesi sana anaweza kuwa na maambukizi ya VVU?
Je ukifanya tendo la ndoa siku ya Kwanza kutoka kwenye siku zako, Unawez kupata mimba
kama mwanaume amekukojolea na ana virus inaweza kuvipata?
Njia za kuzuia pepopunda kwa mtoto