Pata jibu kamili kuhusu swali lako
sababu ya ugonjwa wa majipu na tiba yake
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 105
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Habari ya asubuhi? Nimesoma dondoo yako. Swali langu.. Huwo ugonjwa wa kikohozi na mafua ikiwa yanasumbua kwa mda mrefu yapata miezi mi wili. Je, ni dalili moja wapo ya ugonjwa wa ukimwi?
Samahan unaweza kuuamini vip Kama una ujauzito
Asante sana Mimi nimesoma kuhusu ukimwi na dadilili zake nimeziona lakini mwezi kuisha nilienda kupima nikaambiwa Sina na wakati nimepungua gafla tu
Niliona vitezi vya kwapa zote mbili na kichwa kuuma Sana na vipele sehemu za Siri
Je inawezena kuwa mtoto amekufia Dani ya tumbo au nikuchoka tu amelala Kwa sababu Niko hospital na wemetafuta heart 💖 beat lakini hawasikii akipumua au kucheza
Samahani naomb kuuliza mapigo yamoyo hua yanaenda mbio sana lakini kwa mda mfupi mpaka naishiwa nguvu nahisi kuchoka,ila nlishawahi kushikwa napresha nkiwa mjamzitoe je nifanyaje hiyo hali ipotee
Hivi kutokwa na maji maji kwenye uume ni tatizo gan