Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Pilipili hutowa ujauzito
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 881
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Nina mtoto mmoja ana umr wa miaka kumi Sasa toka hp nikaja kupata mimba ikatoka hd Sasa Kila nikijaribu kutafuta mtoto mwingne imeshindikana
Naulisa ukiwa unakunyua pombe unawesa ambukizwa ukimwi .
Kuna dalili naziona kama kichwa kuuma japo akiumi sana na sijiskii homa na kichwa kinauma upande mmoja wa kushoto na ni miez miwili sasa nimedate na mtu ambae simuamini je naweza kua nimepata maambukizi 😢doct
Mm Nina miaka 32 ninamida sasa natumia dawa za ukimwi na cjawahi pata tatizo lolote toka nianze kutumoa na toka nianze kutumia dawa ninazaidi ya miaka SITA Sasa hivi karibuni nimeanza kupata vidonda vya ulimi uja na kuondoka je tatizo linawekua nn
Mm naumwa kwenye upande wakushoto juu tumbo linako azia
Naomba kujua ninapohisi kichefuchefu na sihitaji chakula chochote nifanyeje