Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Nina tatizo LA kusahau mm niwakiume
Tatizo la kusahau, tumia
1. Karanga
2. Samaki
2. Machungwa
3. Mbegu za mboga
4. Pilipili
5. Kahawa
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Ninasiku kama yatatu kichwa kinauma nakinapoa bado sijui nikitu gani naomba msaada
ninapresha ya kushuka je inasababisha kooni kubana
naomba kusaidiwa kujua siku za hatari,
Je, mtu anaweza pata ujauzito akishiriki tendo siku ya 11 katika mzunguko wake,, na dalili za ujauzito zinaonekana kwa muda gani baada ya kushiriki tendo?? na kutokwa na uteute wenye rangi nyeupe mzito unaweza kuwa dalili ya ujauzito??.
Je unawesa kujuwa Mimba ya wiki Moja
Hbr ndugu zangu me Nikimara exprose na nikapewa pep nimetumia mwezi mzima na nimepimwa sina shida ila bado bina wasiwasi sana yangu nimalize dawa leo siku ya pil