Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Nina tatizo LA kusahau mm niwakiume
Tatizo la kusahau, tumia
1. Karanga
2. Samaki
2. Machungwa
3. Mbegu za mboga
4. Pilipili
5. Kahawa
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Ni namna gani ambavyo mtu anaweza kujikinga na ukimwi
Sorry nlikua naomba kuuliza kuharisha kinyesi cheusi inaweza kusababishwa na nn
Samahani nina vipere kwenye uume dawa ya asili ni ipi
Habari Doctor pole na majukumu,nna tatizo la kuumwa chini ya kitovu uume unawasha kwa ndani na nikikojoa mkojo unanuka then unatoka na vitu vyeupe vyeupe ukiwa na rangi ya njano lkn nimeenda kupima UTI nikaambiwa sina naomba ushauri Doctor
Mimi wakati wa usiku na hisi joto Kali na mwili kuchoka na macho kutokuona vizuri wakati wa mchana
Mi naitaji ushauli kuhus dalili za mwanzo kuma ya kuota tezi kweny shing au kwapan hizi tez zipoj zipoje