Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Nina tatizo LA kusahau mm niwakiume
Tatizo la kusahau, tumia
1. Karanga
2. Samaki
2. Machungwa
3. Mbegu za mboga
4. Pilipili
5. Kahawa
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Nimeishi na mwenye virusi vya ukimwi miaka minne tumeenda kupima yeye anamaambukizi ya virusi vya ukimwi afu Mimi Sina na nimepima mala mbili
Je huu ugonjwa hutibiwa kwa mda gani Wa kuvimba mapumbu na maumivu makali
Habari Dr mm nasikia tumbo lote linauma baada ya tendo la ndoa.maumivu ni makali na hupelekea viungo kukosa nguvu.km vile miguu na mikono inakosa nguvu na mwili mzima unakosa nguvu.tafadhari naomba msaada zaidi.
Na pia maumivu hayo huwa sio ya mda mfupi.yanachukua masaa na badae huendelea taratibu chini ya kitovu
najickia maumivu maumivu.. sanyingine nakuwa kam mkojo umenibana xn lkn hmn au unakuwa kidogo xn
sikuhatar za kupata ujauzito kwa mwanamke nisiku gan
Mimi ni msichana mwenye umri wa miaka 28.nina tatizo la kutokwa na maji mengi ukeni muda ninapojamiiana hasa pale ninapokuwa nafika kileleni.yale maji Huwa yananikosesha Raha sana maana mpaka pale nilipolala panaloana .je tatizo hili husababishwa na Nini?