Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Nina tatizo LA kusahau mm niwakiume
Tatizo la kusahau, tumia
1. Karanga
2. Samaki
2. Machungwa
3. Mbegu za mboga
4. Pilipili
5. Kahawa
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Ulimi wangu umechanika cjui shida nn na nimepima HIV cna itakuwa ni nn
Je vidonda vya tumbo vinapona au aviponi kabisa na pia vyakula?
Je mtu mwenye HIV atafanyeje Kwa ajili ya kuimarisha afya yake
Tumbo linapata gas nalinajaa sana. Kunawakati nahisi vitu vinatembea timboni
Naomba ushauri nina ndugu yangu ana presha huwa inapanda hadi 190 je nimsaidia je
Habar, samahan naomba kuuliza, endapo unapata maumivu makali ya tumbo upande wa kulia kwa chini na maumivu hayo unayapata wakati wa hedhi na wakati wa siku za kubeba mimba harafu maumivu hayo yanaambatana na kuunguruma je! Inaweza kuwa nini?