Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Niko na vitu kama upele kwa makwapa je shida inaeza kua nini
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 100
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Dokta mm tumbo langu laniuma mda mwengine nikimaliza kula ama nikimaliza kwenda haja kubwa nkikaa na njaa yani huniuma lote naomba sulution
Me in mwanaume na miak 18...kunaaa kijibu kdg leoo nimekiona maeneo ya sehemuza siri jeee ni tatizo gan...??? Daktari...
Je kama unaumwa joint za miguu, kiuno na unakojoa mara kwa mara na kichwa kuum sana utaweza kupona
Ikiwa vipimo vya magonjwa ya zinaa vitafanyika kwa mwanamke hata kabla ya dalili kuonekana nje, majibu huonyesha maambukizi?
Siku za kupata p zimesha pita huwa napata tarehe 26 ila adi ss sija pata na tumbo lina niumaa km la p vle ttz nn ila dam haitoki
Ukiingiza kwenye uke ukitoa utoka na weupe wakunuka saan shida nini hapo