Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Niko na vitu kama upele kwa makwapa je shida inaeza kua nini
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 100
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Samaan me nimjazito miez tisa ss Ila ikifika usiku napata maumivu makali yatumbo na kiuno
habari ninatatizo la fangas kwenye pachu za mapaja nahitaji matibabu kwenu napataje huduma?
Ninatokewa na vijiupele kwenye kichwa cha mboo Kuna dawa nilipewa ya kupaka ila vinapotea na kurudi
Mm na mwashoo wa macho kila siku piaa yanaonekan ni dhaif San jee! Ni dalili ya nn??
Je kipimo cha mkojo huonyexha mimb ikiwa na mda gan
Ninashid ya kuumwa na tumbo upand wa Julia Kwa chin tatiz ni nin