Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Nikiswalia nyumbani swala zote ni sawa tofauti ijumaa
Mwanaume akiswalia nyumbani hapati ujira sawa na yule wa msikitini. Hata hivyo ukiswalia nyumbani swala inakubaliwa
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Kuitikia salamu ni faradh ain au kifaya?
Naitaji mwalimu video lamda Kwa uelewa zaidi juu ya sanda ya mwanamume na mwanamke
je inawezekn kuswalia nyumbn swal y usiku
Naomba unifundishe namna ya kusimamisha sala ya tarawehe na witir
Hmn yurad unao somwa baada ya kusha sali hzo rakaa mbili na kutoa salamu
Jee nduguzake na Nabii YUSUFU walikua na mama mmoja au kila nduguye na mamake?