Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Nikiswalia nyumbani swala zote ni sawa tofauti ijumaa
Mwanaume akiswalia nyumbani hapati ujira sawa na yule wa msikitini. Hata hivyo ukiswalia nyumbani swala inakubaliwa
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Mwanamke anapotalikiwa yapaswa kwake kufanya nini na kutofanya nini
Asalaam aleykum. Ni matumaini yangu ya kwamba m buheri wa afya. Nilikua nataka kufahamu utaratibu wa kutoa talaka kwa mke ambae bado hujamaliza kulipa mahari yake.
Naomba kama app inaweza kunipa mawaidha ya audio niambieni Barakallahu fikum
Nauliza mke wa Nabii Nuhu alikuwa anaitwa nani?
Nataka kujua kuhusu historia za masheikh wa afrika mashariki na Elimu zao
Mana kunamtu ameniambia kua maiti anamashid sijamuelewa ndoman nimewauliza nyie kama wapo niwajue