Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Nikiswalia nyumbani swala zote ni sawa tofauti ijumaa
Mwanaume akiswalia nyumbani hapati ujira sawa na yule wa msikitini. Hata hivyo ukiswalia nyumbani swala inakubaliwa
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Assalam aleykum nilikuw nauliza je Kuna dua yyote ya kumsomea mait wakati wakumuosha??
Nataka kufahamu vitabu vya mungu vipo vingapi
Naitaji mwalimu video lamda Kwa uelewa zaidi juu ya sanda ya mwanamume na mwanamke
Je inafaa kutoa talaka mbili kwa mkupuo mmoja?
Je damu ya vidudu vidogo vidogo ina toa udhu mfano kama damu ya mbu nk
Je? Unaswaumu halafu umezaa nje mtoto mama kaomba hela unaruhusiwa kuto?