Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Nikiswalia nyumbani swala zote ni sawa tofauti ijumaa
Mwanaume akiswalia nyumbani hapati ujira sawa na yule wa msikitini. Hata hivyo ukiswalia nyumbani swala inakubaliwa
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
mimi muisilamu hila akuna ninacho kijua msaada wenu nataka kitabu cha kiswahili nijifunze km itawekana
Asalam alaykm naomba unipatie ushahid kuunganisha ya magharb na Ishaa kwa sababu ya mawingu
Wazazi na watoto wana wajibu gani katika uslamu na jamii yao
Nataman kujua Jins ya kujitwaharish kujua kuswali na kusoma Quan je unanisaidiaj?
Je naruhusiwa kuchinja nikiwa nimefunga ramadhani?
Kuna mafunzo ambayo waislamu wanayapata kutokana na historian ya maimamu wa fiqhi