Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Nikiswalia nyumbani swala zote ni sawa tofauti ijumaa
Mwanaume akiswalia nyumbani hapati ujira sawa na yule wa msikitini. Hata hivyo ukiswalia nyumbani swala inakubaliwa
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Faida za kusali Sala za sunna zichambuwe
Nataka kujua nini maan ya talaka na edaa
Aww ninaweza kupata clips za namna ya kuswali swala vita, namna ya kuosha maiti
Assalaam alaykum warahama tullah, shekh Mimi nataka duwa ya kutosherezwa na Allah katika jambo langu je nitaipataje nataka kui hifazi.
Kifo cha bi khadija kilitokana na nini
Ilkuw nina xhid na ninaomb nipat jib la hili Qn ambalo ni ..kwa kutuamia ushahid 4 ya kihistoria thibitish kuw ufufuo ni jamb jepesi