Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Nikiswalia nyumbani swala zote ni sawa tofauti ijumaa
Mwanaume akiswalia nyumbani hapati ujira sawa na yule wa msikitini. Hata hivyo ukiswalia nyumbani swala inakubaliwa
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
ASALAM ALEIKUM WARAHMATULLAH WABARAKATUH Mama mdogo katangulia mbele ya haki. Alizaa mtoto mmoja tu wa kiume na alifariki kabla ya mama. Suali jee wajukuu wa huyu mama wanamrithi. Ana wajukuu 7 wakiume 3 nawakike 4 Pia huyu mama ana ndugu yake wa kike wa baba mmoja vipi na yeye anapata mirathi
Kuitikia salamu ni faradh ain au kifaya?
Swalaa ya istikhara yaswaliwa vip???
Asalamu aleikumu ni halali kuridhiwa na mtoto wa nje ya ndoa? Na hakizake ni zipi ?
Naomba vipi qadar ya mwenyezi mungu ina athiri Manisha ya muumini
A.alaykuuu swalii.....kwa mujibuu wa suratul,asri aliefelii na na alifauluu ni nani