Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Nikiswalia nyumbani swala zote ni sawa tofauti ijumaa
Mwanaume akiswalia nyumbani hapati ujira sawa na yule wa msikitini. Hata hivyo ukiswalia nyumbani swala inakubaliwa
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Naomba kujua tofauti kati y hadithi qudsi na hadithi nabawiy
Taja watu watano ambao uislamu umewakataza kuwapa maji. Pindi ambapo maji hayo yamewekwa kutiliwa udhu
Ninapo rehem Niki Soma jina la marehem nasemaje
Asalam alkum mimi nimepewa talaka tatu pasipo na shahidi yoyote je hapo talaka amenipa kwa usahihi?
Nilipilengo la swala kwa hoja ya quran na hadithi
Napenda kuelewa kuhusu mke Kam nimeishi nae mwezi 1. Na kupeana taraka Mali tutagawanaje au hakuna Cha kugawana