Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Niipi hukmu yamtu mwenye kuacha swala pasi na udhuru wowote?
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 243
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Naam shukran na je!alhabib swali langu ni kama ifuatavyo:mke wangu ni mjamzito nyakati ya kujifungua wadaktari wakanambia nitie saini ima nimpate mke wangu akiwa hai au nimpate mwanangu sheria yanihitajia kufanyaje?
Nauliza kama aujui kusoma Quruani na unaswali kila kipidi cha swala je kunapungufu apo
Uislamu wakati wa makhalifa ulipata changamoto nyingi sana ambazo zilipelekea kuwatia khofu waislamu wanafikiria mambo gani yaliopelekea kuondosja changamoto izo
A,aleikum
Mwanamke akiwa kwa eda ndo kwanza anaanza kuuachwa je inarusikika mke uyo kwenda kwa kadhi na kudai talaka ?
Assalam alaykum nauliza eda ya khulu Ni muda gani? Na wanaweza kuregeana?
Je kula chakula ni ibada Au ni ada