Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Ni njia zipi za kuboresha mbengu za kiume ili mwanamke aweze kupata mimba??
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 814
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Iko iv naomba kuliza nimeziona siku zaku tarh 5 nimekutan nammewngu tarhe kumi 11 tareh kumi17 nimeziona tan siku zangu jee shida nini
Samahan unaweza kuuamini vip Kama una ujauzito
samahani dokta nimeenda hospitali nikapewa dawa za UTI zinaitwa CIPROFLOXACI arafu ninaujauzito kama wamwezi je haziwezi kunizuru
Nina umr wa miak 26 jinsia yangu y kiume swar langu nilikuwa natak kufaamu mpez wangu Kila nkimwnglia anais maumvu kwenye uke wake mpak nampelekea kumchubua
Jabari Doctor Mimi nimeona hedging Tarehe 13/2 an 14/2 Lakini ilikuwa siielewe ilikuwa imetoka sio nyingi na pia ilikuwa inarangi Kama unsenda kwenye Weusi, pia chuchu zangu nikikamua zinatoka Maziwa nimejaribu kupima nyumbani kipimo kinasema negative ina mstari ujakolea wekundu unaonyesha Kama niliyoona kwenye period
Nimenunua hili tunda zaituni kwanza,nimelionja kwamarayakwanza tangu nizaliwe sijawai kuila baada ya hapo nimegoogle nakwangalia faida zake Nahitaji kujua mengi kuhusu hili tunda