Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Naomba kuuliza jee kama nime jamiiana leo naweza kwenda kupima kesho ukimwi
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 797
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Tatz lang tok mwez wa pili mwishoni najisikia viby km tumbn Kuna kt hasa kilikuwa kinatembea ila saiv nahs sana maumivu upande wa kushoto km kweny mbavu .na nikibeba kit kizito naumia nahs km kunatoka chin.mda mwengn km kuchefukwa .na sijaingia ktk siku zng na ilikuwa Leo .je tatz ni nn
Mkewang anatatiz lakuumiya san tumbo na sehem yasir nazaid tukifanya mapenz napiya anamimba bd changa
fangasi inayoweza kutibika iwe imedumu kwa muda gani ?
Samahan naomba kuuliza je Romanc yaani Denda linaambukiza Vvu?
mama yangu anasumbuliwa sana na vidonda kwa mda mrefu Sasa takribani mwaka sasa na hajapata nafuu mpaka imefika wakati hawezi kutembea na anazimia sasa nifanyeje
Doctr naomba mxaaada wako nilitumia p2 ucku xaa tatu nakesho take nikaendelea na doz ya dawa nilizokuwa natumia lakin nilivyomeza daw za doz nilitapk dockr naomba uxhauri