Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Ni msichana namiaka 30.nahitaji kujua dawa ya chango.
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 148
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Na jihisi kichefuchefu na ubongo kuhuma na mwilini moto na shingo kuhuma pia, Naomba unisaidi baba
Shida yangu mikono inalegea na kukosa nguvu pia kufa ganzi na halafu miguu pia inakosa nguvu na maumivu ya mwili wote hasa kifuani
Habari nilikuwa nataka kuuliza unaweza pâta mimba n'a umedunga sindano ya uzazi
Assalam aleykum! Me nataka kujua jina kamili la mtume HUD (A. S.)
Samahani nikisha jihisi kuwa ninamimba changa je naweza kutumia dawa ya kuzuia kuharisha plees naomba kujuwa
Ninapenda kuuliza swali, kuhusu tiba ya macho, macho yanaona vimulimuli Kwa mbele, vikiisha hvyo vimlimli kichwan kinaanza kuuma Sana,, je nitumie Gani kutibu tatizo Hilo, au ushauri Gani Ili niweze kujikinga na tatizo kama hili