Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Ni msichana namiaka 30.nahitaji kujua dawa ya chango.
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 148
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Habari? Kuna dawa za kumaliza pressure ya kupanda moja kwa moja mbona mi Kila nkienda hospital napewa dawa za muda mfupi tu Kisha baadae pressure inanirudia tena
Habar ya ww mtaalamu ,sasa nilitaka kufahamu kama shilingi inaweza sababishwa na minyoo maana hapa nilipo ninashilingi kifuani nimetumia dawa za kupaka inasaidia ninapoendelea kutumia dawa ,dawa inapokuwa imeisha yenyew inaanza upya na shilingi hii inawasha na ina uweupe Fulani ina mda kama miaka 6 saiv haitaki kuisha,vilevile saivi imeongezeka kichwani na hata usoni ,nilishauriwa pharmacy kwa nitumie dawaa ya minyoo itasaidia
Naomba nisaidie kujua kama kuna madhara ya kutumia tangawizi kwa mtu mwenye vidonda vimsvyoanza
Tatizo la kutokwa na maji maji mepesi meupe yasiyo na harufu ukeni kama maziwa ni dalili ya ugonjwa gani?
Na dalili zifuatazo tumbo kujaa ges alaf wakati wa kucheua napata shida njaa mda wote naomba msaada
Me naomba kuulza ivi kuna siku maalumu ukifanya tendo la ndoa endapo mke atapata ujauzito bc mtot atakuwa wa kiume ipo siku iyo?