Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Ni msichana namiaka 30.nahitaji kujua dawa ya chango.
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 148
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Je kama utete unao Toka ukeni unakuwa na njano njano tatizo nn
Na mimba ya Kwanza ikitoka inafaa amalize mda gani ndo ashike ingine
Shida yangu mikono inalegea na kukosa nguvu pia kufa ganzi na halafu miguu pia inakosa nguvu na maumivu ya mwili wote hasa kifuani
Nauliza kutokww na uchafu kama usaa na unaharufu mbaya baada yakumaliza period unaakaa kama wiki alafu ile hali inapotea
fangasi inayoweza kutibika iwe imedumu kwa muda gani ?
Bibi yangu amemaliza almost 2months hajapata cku yake ya hedhi na Hana mimba