Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Ni msichana namiaka 30.nahitaji kujua dawa ya chango.
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 148
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Mimi nataka dawa za kiungulia alafu uniambie na vyakula vya kula...uenda nakosea kwenye vyakula ninavyokula
Mimi wakati wa usiku na hisi joto Kali na mwili kuchoka na macho kutokuona vizuri wakati wa mchana
Nko na maumivu chini ya kitovu na nlipima jna bt kipimo kikasema sna mimba bt sjaona siku zangu na hua zinakam taree 3 myb mniambie shida ni nin
Mimi nimetafuta mtoto takiribani miaka 17, mmpa leo sijapata shida niliambia homon zipo chini, mayai hayapevuki yaani yamefika mwisho naweza pata matibabu mengine umri 45
Habalì naomba niuliźe mimi nimeng'atwa na nyoka lakini meno yake hayajatoka
Mm cjaona cku zangu ila najawa na gesi tumboni mara kwa mara na tumbo kuuma kdgo chin ya kitovu je ni mimba?