Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Nataka kujua kuhusu historia za masheikh wa afrika mashariki na Elimu zao
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 82
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Je kwa mfano mtu umekuangukia mkojo kwenyw nguo na unataak kwenda kuswali Nini unatakiwa kufanya
Assalaam alayka je' kwa yule ambaye anakipato cha chini anapaswa atoe zaka kiasi gani na kwa kipindi gan?
Nina penda ni jue ni haram kula chakula kilicho nunu liwa na bwana sio mme mwezi wa Ramadan naombeni mnijulishe shekhe wangu
Jee mgawanyo wa dhakatul fitir ni sawa na mgawanyo wa dhakatul Mali kwa mbea nane?
Toa hoja nane za kuonyesha jinsi Mtume alivyo andaliwa ki ilham na kimafunzo .
Dokta habari ya leo samahani mpenzi wangu limemsumbua sana tumbo kama siku 4 ama5 hivi, na nilivyo angalia tumbo lake nimeona mchilizi mweusi umetoka kwenye kitovu je hii nayo inaweza kuwa dalili ya mimba?