Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Nafasi ya akili katika kumtambua Allah
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 92
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
nimetofautiana na mke wangu tangu siku ya kwanza ya ndoa nimevumilia miaka 2 sasa nikijua atabadilika lakini tabia bado haibadili nifanyaje sinafraha siku zote
Je Kama ss wanawake tunaopata au kuigya ktk siku na anatka kufanya hija je itakuaj
Mjane akiacha Mali halafu akawa Ameacha watoto wa Tano mmoja mwislam wengine wakristo na mjane alikuwa mwislam, swali langu Hawa watoto ambao ni wakristo Wana haki ya kumrithi mama Yao? Naomba unisaidie majibu pamoja na kifungu kitakacho patikana juu ya jibu lako. Asante
Asalam aleykhum ,he mtu huweza kudumu na udhu kwa swala zote tano kama hatopatwa na moja ya yayotengua udhu ?
Vipi kuhusu kukanyaga kinyesi kisicho chako inabatilisha udhu?
Asalam aleikum warahmatullah wabarakatuhu, mimi nimemuachia mke wangu zakatul fitri aigawe ,bahati mbaya mlengwa katafutwa zaidi ya mara mbili hakupatikana ,kaja kupatikana baada ya swala ya iddy, nini hukumu ya hiyo zaka?