Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Nafasi ya akili katika kumtambua Allah
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 92
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Asalam alaikum naomba darasa fupi aina za najisi,makundi yake pamoja na tohara zake
Mimi ni Binti wa miaka 24 ,Niko na mchumba ila ni Wa dini nyingine yaan christian nimejaribu kumshawishi na Kwa kiasi Fulani anakaribia kuelewa juu ya uislam , swali langu ni kwamba ni Kwa namna gani naweza mshawishi zaidi na vitu gani nifanye baada ya yeye kukubali kuwa Muslim? Assalam aleykhum!
Samahani nilikua nauliza sunnah na mpangilio wake sijauelewa
asalam aleykum nataka kuhuliza mwanamke mwenye hedhi anaruhusiwa kusoma quran aliyo hifazi kichwan mwake yan bila kushika msahafu
Asalam alaykum naomba kuuliza ya'juj na mu'juj ni viumbe gan
Assalaam Alaykum,namna yakutoa talaka ya tatu na taratibu zake