Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Nafasi ya akili katika kumtambua Allah
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 92
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Nina swali sheikh nahitaji msaada wa Elimu.
Nimeingia kwenye mgogoro na Mke wangu asubuhi hii kwa kuwa alikuwa akitamka maneno ambayo mimi sitaki kuyasikia kutoka kwake. Nimemuonya mara ya kwanza hakusikia, nikamuonya tena hakusikia, nikamuonya mara ya tatu kwa kumuambia kwamba *"Ukiniandikia tena Maneno haya basi nitakuwa nimekuacha"*. Naye akayaandika tena? Je, hapa talaka imetoka? Na hukmu yake ni ipi?
Fafanua chimbuko na asili ya mwadamu kwa mtazamu wa kiislamu na usio wa kiislamu, nisaidie
Sababu za mwanaume kupata maumivu baada ya tendo la ndoa
Swala ya witri inaweza swaliwa kwa kuunganisha bila kutoa salaam baada ya rakaa 2
Sababu zinazopelekea kutofikia lengo la zakka na sadaka
Je nihadithi zipi zilizo onesha kuwa mtume ame swali tarawehe kwa rakaa 11