Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Ninaweza kupata dawa yakukawiya wakati yakitendo cha ndowa ?
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 625
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Naam shukran na je!alhabib swali langu ni kama ifuatavyo:mke wangu ni mjamzito nyakati ya kujifungua wadaktari wakanambia nitie saini ima nimpate mke wangu akiwa hai au nimpate mwanangu sheria yanihitajia kufanyaje?
Marehemu ameacha mke na mtoto miaka 10, wazazi wote baba na mama yake wamefariki mali ya marehemu itarithishwa nani na kwa mafungu gani
Ukitaka kujifanza Quran kwe njia yacm Ina wezekana
Asante na kama ukipata haja kabwa au ndogo na ukastanji ni lazima kuchukua udhu tena ?
Assaalaam Alykum,
Mimi nataka kujua jinsi ya manuwiz ya swala ya eid, ahsantee
Vipi kuhusu kukanyaga kinyesi kisicho chako inabatilisha udhu?