Pata jibu kamili kuhusu swali lako
nataka kujifunza jinsi ya kuswali na je? rukuu nini
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 920
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Nataka kuuliza historia ya uislamu baada ya kutawafu mtume ni mada ya form ngapi
Nauliza hv unaposwali swala yeyoe kuna dua yake au unaweza soma sura yoyote unayoijua
Naitwa mustapha nipo songea, je quraan inapaswa kusomwa nyakat gan
mke aliejifungua au kuharibu mimba kabla ya kuoga nifasi akapewa talaka na mumewe je mwanamke huyu anapaswa kukaa eda?
Mimi ni mwanamke wa miaka 25..Nilikuwa nina kipindi kirefu kama miaka 3..Sijafanya mapenzi..Sasa baada ya kufanya wakati siku naingia Kwenye siku zangu nilipata maumivu makali sana ambayo kabla sikuwa nayo..Lakini pia nimeanza kupata maumivu ya chini ya kitovu na kiuno ambapo inaambatana na gesi wakat mwingine hadi kichwa kinauma na misuli ya miguuni..Naomba unisaidie shida ni nini?
Katika mitume 25 walopewa ilmu na hikma ni wangapi na ni akina nani? Wabillahi taufiq