Pata jibu kamili kuhusu swali lako
nataka kujifunza jinsi ya kuswali na je? rukuu nini
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 920
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Swala ya dhuha je unasoma Sura yeyote ama ina Sura maalum
Kwanin mwanaume anaoa wanawake zaid ya mmoja Kwan uyo mmoja hamtoshi
Nauliza hv unaposwali swala yeyoe kuna dua yake au unaweza soma sura yoyote unayoijua
Asalaam aleykum. Ni matumaini yangu ya kwamba m buheri wa afya. Nilikua nataka kufahamu utaratibu wa kutoa talaka kwa mke ambae bado hujamaliza kulipa mahari yake.
swali mim nahitaji kujua herf zakuruani
Nataka kufahamu katika Sala ya Eid imamu anapo soma takbira Allah Akbar!! Maamuma baada ya kuuitikia kuna mapumziko fulani baina ya Takbira, pale una faaa usome DUA gani?