Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Assalam alaykum nauliza je ni dhambi kusoma qur-an ukiwa kichwa wazi
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 854
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Mm nataka nifahamishe jinsi ya kusali kuanzia rakaa ya mwanzo mpaka kumalizika
Mimi nina mtoto wangu wa kiislam, lakini kapata mchumba wa ki kirsto, je naruhusiwa kula Mahari yake? Naomba msaada huo
Asalaam alaykum w wabarakat ustadh je kama umeshiriki tendo la ndoa ktk mwez wa ramadhan kisha ukapitiwa na usingiz mpaka alfajir ikafika ukawa ujajitwaharish je unaweza kuendelea na swaum bi maana swaumu yako itaswihi
Je mwezi mtukufu wa Ramadhani umekalibia je kama ukiwa umefunga afu bado upo unafanya kazi iyo ya riba je funga itakuwa salama
Sababu zinazopelekea kutofikia lengo la zakka na sadaka
Toa hoja nane za kuonyesha jinsi Mtume alivyo andaliwa ki ilham na kimafunzo .