Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Assalam alaykum nauliza je ni dhambi kusoma qur-an ukiwa kichwa wazi
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 854
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Ninapo rehem Niki Soma jina la marehem nasemaje
Kuamin malaika katika maisha yakil siku na athar zak
Je? Unaswaumu halafu umezaa nje mtoto mama kaomba hela unaruhusiwa kuto?
Asalam alaykum warahmatulah wabarakatuh, samahan maalim naomba kuuliza yakuwa vipi ikiwa mwanaume umezaa mtoto ambaye ni nje ya ndoa je ni nn haki ya mtoto kwako au ni wajibu upi u atakuwa nao mzazi huyo katika malez ya mtoto huyo
Swali lang naomba kujuwa kufanya biashara ya play station au Games je naingia kwny haramu.
Assalam alaykum warahmatullahi wabarakatu.
Samahani naomba kufahamu kwa mwanamume alie muacha mkewe kwa talaka tatu nikipi kifannyike ama taratibu gani zinapashwa zichukuliwe ili mwanamume huyo aweze kuishi tena kihalali na alie kua mkewe.