Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Naomba vipi qadar ya mwenyezi mungu ina athiri Manisha ya muumini
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 124
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
je ninapochukua udhu naruhusiwa kuongea?
Samahn,,ati ni mwaka wa ngapi ilifaradishwa funga?
Jana alikuja alielua mume wangu akawaambia watu kua nimemuacha s mke wangu je nataka kujua ikiwa ni lazima akicha kue na mshahid wa kweli je hapo talaka imepita na kama imepita anafaa kunipa karatas au haifai
Habari nilikua nahitaji Mafunzo namna ya Kuswari na dua zake Kwa njia ya sauti ataiyatu ndio siwezi
Katika mitume 25 walopewa ilmu na hikma ni wangapi na ni akina nani? Wabillahi taufiq
Toa hoja nane za kuonyesha jinsi Mtume alivyo andaliwa ki ilham na kimafunzo .